S KN (N + r + E + S) + KT (T + E)
maurice.mutuku answered the question on August 2, 2019 at 06:37
-
Tambua aina mbili za sentensi ukizingatia uamilifu na utoe mfano mmoja kwa kila moja
(Solved)
Tambua aina mbili za sentensi ukizingatia uamilifu na utoe mfano mmoja kwa kila moja
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Andika neno lililo na muundo wa silabi ufuatao:
IKKI
(Solved)
Andika neno lililo na muundo wa silabi ufuatao:
IKKI
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa bainifu za sauti hizi:
/y/
/m/
(Solved)
Fafanua sifa bainifu za sauti hizi:
/y/
/m/
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kutolea mifano, tofautisha kati ya ala tuli na ala sogezi.
(Solved)
Kwa kutolea mifano, tofautisha kati ya ala tuli na ala sogezi.
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya mzizi wa neno na shina la neno
(Solved)
Eleza tofauti kati ya mzizi wa neno na shina la neno
Date posted:
July 5, 2019
.
Answers (1)
-
State the contributions of parastatals to the economic development of Kenya.
(Solved)
State the contributions of parastatals to the economic development of Kenya.
Date posted:
July 2, 2019
.
Answers (1)
-
ISIMU JAMII
Eleza majukumu matano matano ya Kiswahili kama lugha ya Kitaifa na Kimataifa.
(Solved)
ISIMU JAMII
Eleza majukumu matano matano ya Kiswahili kama lugha ya Kitaifa na Kimataifa.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha:Furaha amehamia mjini.
(Solved)
Andika kinyume cha:
Furaha amehamia mjini.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo.
Hapo napo ndipo nitakapo.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo.
Hapo napo ndipo nitakapo.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukitoa mifano mwafaka onyesha matumizi mawili ya kinyota(*)
katika sarufi ya Kiswahili.
(Solved)
Huku ukitoa mifano mwafaka onyesha matumizi mawili ya kinyota(*)
katika sarufi ya Kiswahili.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Andika ukubwa wa sentensi:
Ndovu wa Kiafrika ameharibu kichaka
(Solved)
Andika ukubwa wa sentensi:
Ndovu wa Kiafrika ameharibu kichaka
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha sentensi sahili zilizo katika sentensi mseto ifuatayo:
Hamali ambaye ameugua alisema kuwa angekwenda hospitali jana
(Solved)
Bainisha sentensi sahili zilizo katika sentensi mseto ifuatayo:
Hamali ambaye ameugua alisema kuwa angekwenda hospitali jana
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia kielezi cha jinsi cha nomino ifuatayo:
Uganda
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia kielezi cha jinsi cha nomino ifuatayo:
Uganda
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili za sentensi:
Kiharusi chake kimewaitia hofu.
(Solved)
Eleza maana mbili za sentensi:
Kiharusi chake kimewaitia hofu.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha shadda katika maneno mawili yafuatayo:
i) Malaika
ii) Nge
(Solved)
Onyesha shadda katika maneno mawili yafuatayo:
i) Malaika
ii) Nge
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi sahihi ukitumia –fa- katika hali ya mazoa.
(Solved)
Tunga sentensi sahihi ukitumia –fa- katika hali ya mazoa.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua sauti ambazo si za ufizi katika sauti hizi.
M, t, n, z, gh.
(Solved)
Tambua sauti ambazo si za ufizi katika sauti hizi.
M, t, n, z, gh.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Chora vielelezo matawi vya sentensi ifuatayo:
Bakari, Roda na Hirsi wamefurahi kupita mtihani.
(Solved)
Chora vielelezo matawi vya sentensi ifuatayo:
Bakari, Roda na Hirsi wamefurahi kupita mtihani.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia visawe vya maneno yaliyopigwa mstari kuandika tena sentensi ifuatayo:
Ukuta umemweumiza mvulana alipokuwa akiuparaga
(Solved)
Tumia visawe vya maneno yaliyopigwa mstari kuandika tena sentensi ifuatayo:
Ukuta umemweumiza mvulana alipokuwa akiuparaga
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi mbili zifuatazo kama sentensi moja kwa kutumia
kiwakilishi kirejeshi.
i) duka la Bahati lina bidhaa nyingi
ii) Juma anafanya kazi katika duka la Bahati.
(Solved)
Andika sentensi mbili zifuatazo kama sentensi moja kwa kutumia
kiwakilishi kirejeshi.
i) duka la Bahati lina bidhaa nyingi
ii) Juma anafanya kazi katika duka la Bahati.
Date posted:
June 28, 2019
.
Answers (1)