Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Fafanua changamoto tano zinazozuia maenezi ya haraka ya lugha ya Kiswahili

Fafanua changamoto tano zinazozuia maenezi ya haraka ya lugha ya Kiswahili

Answers


Maurice
-Mashindano na lugha zingine kama Kingereza.

- Kasumba kwamba lugha ya kiswahili ni duni/ya watu wasiosoma.

-Sura mbovu za serikali

-Ukosefu wa taasisi maalum za kuendeleza kiswahili.

-Matumizi ya ‘sheng’ yanadidimiza kiswahili
maurice.mutuku answered the question on October 8, 2019 at 10:17

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions