Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Sifa za ngano za mashujaa

      

Sifa za ngano za mashujaa

  

Answers


Janet
1)Hutumia chuku kusifia matendo na uwezo wa shujaa.
2)Majagina huwa na uwezo wa ukiamaumbile (uwezo unaozidi wa binadamu)
3) Huwa ni vigumu sana kwa shujaa kuuawa minghairi ya idadi ya maadui wake
4)Shujaa huwa na siri kuu ya nguvu zake (kama nguvu kuwa kwenye kivuli, nywele, n.k)
5) Jagina hupigania haki za jamii yake
6) Jamii ya jagina huwakilisha wema ilhali maadui wao huwakilisha ubaya.
7) Jagina hufa mwishoni, haswa baada ya kusalitiwa na mtu wake.
8) Hadithi hizi huaminika kuwa za kweli ama zenye kiwango fulani cha ukweli; kwamba mashujaa hao walikuwa.
mwendwamutindi answered the question on November 7, 2017 at 07:22


Next: A mixture of kerosene and water was shaken and left to stand, ammonia gas was then bubbled into the mixture followed by a few drops...
Previous: State two uses of sodium carbonate

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions