Kenga ni mshauri mkuu wa Majoka.
- Kenga in kibaraka, wakati takwimu zinaonyesha asilimia sitini ya wana Sagamoyo wako tayari kumpigia Tunu kura iwapo atasimama, anamtia Majoka moyo kwamba hayo ni maneno yametiwa chumvi.
- Kenga ni fisadi, pamoja na mzee Majoka wanahodhi mali ya umma. Anamegewa sehemu ya soko la Chapakazi.
- Kenga ni mshauri mbaya, anamshauri Majoka walifunge soko ili kulipiza kisasi kwa Sudi na kumnasa Ashua.
- Kenga ana taasubi ya kiume, haamini mwanamke anaweza kuwa shujaa Uk. 10. Vile vile anamuuliza Sudi kuwa amelishwa kiapo na huyo hawara wake akiashiria Tunu Uk. 12
- Kenga ni msaliti, anawasaliti wananchi wa Sagamoyo kwa kuhodhi mali ya umma badala ya kuwajibika katika kazi aliyopewa na wananchi.
- Kenga ni katili, anamwambia Majoka kwamba polisi wanafanya kazi yao vizuri kwa kuwajeruhi waandamanaji, pia anapanga njama na wahuni.
franco crick answered the question on January 31, 2018 at 16:56
-
Eleza changamoto zilizoukabili usanifishaji wa kiswahili.
(Solved)
Eleza changamoto zilizoukabili usanifishaji wa kiswahili.
Date posted:
January 30, 2018
.
Answers (1)
-
Je, miviga ina upungufu gani?
(Solved)
Je, miviga ina upungufu gani
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua kikamilifu dhana zifuatazo za fasihi simulizi
i) Nyiso
ii) Mbolezi
iii) Hodiya
iv) Bembelezi
v) Sifo
(Solved)
Fafanua kikamilifu dhana zifuatazo za fasihi simulizi
i) Nyiso
ii) Mbolezi
iii) Hodiya
iv) Bembelezi
v) Sifo
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika katika usemi wa taarifa
“Karibu Bakari, tafadhali kaa”, Maimuna alisema. “Asante, je, habari za nyumbani?” Bakari aliuliza
(Solved)
Andika katika usemi wa taarifa
“Karibu Bakari, tafadhali kaa”, Maimuna alisema. “Asante, je, habari za nyumbani?” Bakari aliuliza
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
Wimbi hilo la maji lilimhofisha mvuvi akashindwa kutupa wavu wake majini.
(Solved)
Andika kwa wingi
Wimbi hilo la maji lilimhofisha mvuvi akashindwa kutupa wavu wake majini.
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
(Solved)
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
(Solved)
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
(Solved)
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
(Solved)
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha: Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
(Solved)
Sahihisha
Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
(Solved)
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mkufu.
(Solved)
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mku
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
(Solved)
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake
(Solved)
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake.
Date posted:
January 13, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
(Solved)
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
Date posted:
December 29, 2017
.
Answers (1)
-
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
(Solved)
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
Date posted:
December 24, 2017
.
Answers (1)
-
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
(Solved)
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
Date posted:
December 15, 2017
.
Answers (1)
-
Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili
(Solved)
Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili
Date posted:
December 15, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi matatu ya kiambishi -po
(Solved)
Eleza matumizi matatu ya kiambishi -po.
Date posted:
December 14, 2017
.
Answers (1)
-
Jadili dhamira ya mwandishi katika Tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili dhamira ya mwandishi katika Tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
December 14, 2017
.
Answers (1)