
Fasihi huelimisha-
jamii hufunzwa na kufahamisha masuala kadhaa kama mazingira.
Fasihi huburudisha jamii-
jamii huburudishwa kupitia vipera vya fasihi vinavyolenga aghalabu kutumbuiza, kufurahisha na kusisimua.
Fasihi hukuza lugha-
sanaa hii hukuza matumizi na ujuzi wa watumiaji wa lugha husika na kusababisha ukuaji wa lugha hiyo.
Fasihi hudumisha maadili-
jamii hupat kujulishwa, huonywa na huelekezwa kufuata mwelekeo na mienendo inayokubalika katika jamii husika.
Fasihi hukuza utangamano katika jamii-
kupitia sanaa kama nyimbo, vichekesho na miviga, watu huunganishwa na kuchangia kuwepo kwa amani na uelewano.
Fasihi hukuza kumbukizi-
sanaa hii huwezesha watu katika jamii kukumbuka hali na mambo ya kale na hivyo kukuza uwezo wao wa kukumbuka.
Fasihi huhifadhi tamaduni-
kila jamii ina tamaduni husika ambayo huhifadhiwa kwa njia ya sanaa za fasihi.
Fasihi hutambulisha jamii-
kila jamii ina mitindo yake ya kuwasilisha sanaa za fasihi ambayo huwa ni kitambulisho cha jamii hiyo.
Fasihi hukuza uwezo wa kufikiri-
vipera kama ngano na vitendawili huchochea jamii kufikiri ili kupata jawabu.
Andreaz answered the question on February 9, 2018 at 10:00
-
Fafanua sifa za Kenga kama zinavyojitokeza wazi katika tamthilia ya kigogo.
(Solved)
Fafanua sifa za Kenga kama zinavyojitokeza wazi katika tamthilia ya kigogo.
Date posted:
January 31, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza changamoto zilizoukabili usanifishaji wa kiswahili.
(Solved)
Eleza changamoto zilizoukabili usanifishaji wa kiswahili.
Date posted:
January 30, 2018
.
Answers (1)
-
Je, miviga ina upungufu gani?
(Solved)
Je, miviga ina upungufu gani
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua kikamilifu dhana zifuatazo za fasihi simulizi
i) Nyiso
ii) Mbolezi
iii) Hodiya
iv) Bembelezi
v) Sifo
(Solved)
Fafanua kikamilifu dhana zifuatazo za fasihi simulizi
i) Nyiso
ii) Mbolezi
iii) Hodiya
iv) Bembelezi
v) Sifo
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika katika usemi wa taarifa
“Karibu Bakari, tafadhali kaa”, Maimuna alisema. “Asante, je, habari za nyumbani?” Bakari aliuliza
(Solved)
Andika katika usemi wa taarifa
“Karibu Bakari, tafadhali kaa”, Maimuna alisema. “Asante, je, habari za nyumbani?” Bakari aliuliza
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
Wimbi hilo la maji lilimhofisha mvuvi akashindwa kutupa wavu wake majini.
(Solved)
Andika kwa wingi
Wimbi hilo la maji lilimhofisha mvuvi akashindwa kutupa wavu wake majini.
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
(Solved)
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
(Solved)
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
(Solved)
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
(Solved)
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha: Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
(Solved)
Sahihisha
Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
(Solved)
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mkufu.
(Solved)
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mku
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
(Solved)
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake
(Solved)
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake.
Date posted:
January 13, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
(Solved)
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
Date posted:
December 29, 2017
.
Answers (1)
-
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
(Solved)
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
Date posted:
December 24, 2017
.
Answers (1)
-
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
(Solved)
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
Date posted:
December 15, 2017
.
Answers (1)
-
Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili
(Solved)
Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili
Date posted:
December 15, 2017
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi matatu ya kiambishi -po
(Solved)
Eleza matumizi matatu ya kiambishi -po.
Date posted:
December 14, 2017
.
Answers (1)