Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

“Mwendazake alikuwa mcha Mungu pengo aliloacha halijaziki. Atakumbukwa milele daima. Mungu ….” (i) Tambua muktadha wa rejista hii.....

      

“Mwendazake alikuwa mcha Mungu pengo aliloacha halijaziki. Atakumbukwa milele
daima. Mungu ….”
(i) Tambua muktadha wa rejista hii.
(ii) Eleza sifa za rejista hii.

  

Answers


ESTHER
(i) Ni lugha ya mazishi / maziko / maombolezi.
(ii) Sifa za lugha hii
(a) Matumizi ya lugha ya kuliwaza. Mfano. Pole.
(b) Sauti huwa ya chini na nyenyekevu.
(c ) Matumizi ya lugha ya kurejelea yaliyopita hasa sifa nzuri za marehemu.
(d) Matumizi ya lugha ya majonzi / huzuni mf. Masikitiko, kuomboleza.
(e) Matumizi ya lugha ya matumaini.
(f) Msamiati maalum wa maombolezi mf. Marehemu mwendazake, hayati, jeneza, kaburi.
ESTHER STEVE answered the question on April 28, 2018 at 15:51


Next: (a) Nini maana ya kufa kwa lugha. (b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha
Previous: Outline five ways in which business is useful to community

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions