Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza maana ya usemi halisi na usemi taarifa

Eleza maana ya usemi halisi na usemi taarifa

Answers


ambrose
usemi halisi- ni maneno yanayozungumuzwa moja kwa moja na mnenaji.Kwa kawaida huwa katika wakati uliopo na pia alama za nukuu. Kwa mfano , ''kesho tutaenda Mombasa,'' baba alisema.
Usemi wa taarifa- Ni uasilishaji wa maneno yaliyosemwa na mtu mwaingine.Mara nyingi alama za nukuu hazitumiki. wakati uliopita hutumika. Mfano Baba alisema kuwa siku iliyofuata wangeenda Mombasa.
jumason answered the question on August 2, 2018 at 08:44

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions