Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza dhima ya mafumbo

Eleza dhima ya mafumbo.

Answers


KELVIN
a) Hukuza uwezo na wepesi wa kufikiri ili kufumbua fumbo ni lazima mtu afikiri kwa makini na wakati mwingine kwa upesi.
b) Hustawisha ubunifu fumbo hufumbuliwa kwa kuoanisha yaliyomo katika fumbo, tajiriba na mazingira hivyo mtu hutumia kiwango fulani cha ubunifu ili kupata maana aidha shughuli ya kufumbua huhitaji watu kuwa wabunifu.
c) Hukuza maarifa ya kukabiliana na changamoto na kutumia mantiki kusuluhisha mambo.

kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 12:36

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions