Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Swali la fasihi kutoka kwa kitabu cha hadithi ndogo Tumbo lisiloshiba.

Eleza dhamira ya mwadishi katika hadithi ya Tumbo lisiloshiba?

Answers


Moureen
Dhamira ni funzo kuu litokanalo na kazi ya sanaa au lengo kuu la mwandishi. Mwandishi wa hadithi ya Tumbo lisiloshoba alidhamiria kufunua uozo unaoletwa na ubinafsi na tamaa katika jamii. Aidha anawajasirisha wanaoathiriwa kuwa wanaweza kukubali madhila wanayofanyiwa ama kupinga dhulma hizo na kusimama wima na kutetea haki zao. ho
karanumoureen answered the question on January 9, 2019 at 18:35

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions