Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Jadili jinsi Mambo yalivyopamba sagamoyo kutokana na mazungumzo Kati ya Hashima na Siti

      

Jadili jinsi Mambo yalivyopamba sagamoyo kutokana na mazungumzo Kati ya Hashima na Siti

  

Answers


EZRA
Kutokana na mazungumzo ya Hashima na siti,tunadokezewa kwamba siku hizi wanaishi kwa hofu.siti wanawoga sababu wamerushiwa vijikaratasi vinavyodai kuwa huko si kwao na wahame kwa kuwa sudi wamejiunga na wanaharakati.
Hashima analalamika kwa kuvuna mchele kidogo na anaamini kuwa ni sababu ya umwagikaji Wa damu isiyo na hatia.anadokeza kuwa hata mito na maziwa yamekauka.majoka anafungulia ukataji Wa miti inayochochea ukame.tunu anaota ndoto na kupiga kelele kuwa amefukuzwa na mzee marara anayetaka kuchukua mkufu wake Wa dhahabu.hii siti anaiona kama njama za wanpinzani wake wanaowinda roho ya tunu.
Viongozi wanatumia vitisho kuwatia watu woga.wanachochea ukabila ili kuwatenganisha watu.wanawatumia wahuni kuwavamia viongozi wanaoongoza maandamano kama tunu.baada ya kuvamiwa tunu naonyesha kutokufa moyo
Mkufu ule wa dhahabu aliouota tunu ukichukuliwa na marara huenda unamaanisha ubikira Wa tunu.marara alijaribu kumbaka tunu lakini hakufaulu.
MBOROGO answered the question on June 9, 2019 at 05:29


Next: Outline historical background of Prophet Nehemiah
Previous: What is Sociality?

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions