Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Thibitisha jinsi anwani "Damu Nyeusi" inaafiki yaliyomo katika hadithi.

      

Thibitisha jinsi anwani "Damu Nyeusi" inaafiki yaliyomo katika hadithi.

  

Answers


sharon
- Fikirini anaachwa kwenye kituo cha basi na dereva mzungu.
- Mhadhiri mzungu na wanafunzi darasani kumwuliza fikirini maswali ya kumdhalilisha na kumdunisha.
- Fikirini anatozwa faini na polisi mzungu ilihali wazungu wengine wanaachwa kuvuka barabara taa zikiwa nyekundu.
- Wahadhiri wanatoa alama kwa kupendelea watu weupe na kuwakandamiza weusi.
- Mlinzi anamfuatafuata Fikirini aendapo kununua vitu dukani kana kwamba anamshuku atadokoa.
- Marekani jela imeundiwa mtu mweusi
- Wanaume weusi wanang‘ang‘ania kula kalenda badala ya kupata shahada vyuoni.
- Weusi kuwabagua weusi wenzao (Fiona na Bob)
- Mzungu anamwona kila mtu mweusi kuwa ni jambazi.
- Watu weusi kushtakiwa kwa makosa madogo madogo mfano kutofunga zipu.
sharon kalunda answered the question on October 1, 2019 at 09:55


Next: A uniform metre rule of mass 40g is pivoted at the 60cm mark and held horizontally with a vertical string as shown below. Determine the...
Previous: The figure below shows a pith ball being lifted into the funnel by blowing air into the funnel Explain this observation

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions