Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.
Eleza ni kwa nini lahaja ya kiunguja ilichaguliwa kwa msingi wa kusanifisha lugha ya kiswahili na wala sio kimvita au kiamu
Answer Attachments
Next: Liandike ubeti ufuatao katika kiswahili sanifu Kisha itaje lahaja aliyotumia mtunzi.
Previous: Eleza ni kwa nini lugha ya Kiswahili ilisanifishwa wakati wa ukoloni
View more Historical Development of Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index
Liandike ubeti ufuatao katika kiswahili sanifu Kisha itaje lahaja aliyotumia mtunzi. "Malimwengu yote yawatiile na dunia yao iwaokele wachenenda zitea zao zilele mato matumizi wayatumbiye"Jawabu; "Ulimwengu wote uwatii na dunia yao iwaokoe Wataenda Vita vyao vile macho yaliyofumbwa wayafumbue"Hii ni lahaja ya kiamu. (b) Kwa kutoa mifano kutoka ubeti huo na kwingineko ,zibainishe sifa Tisa zinazotofautisha lahaja hiyo na kiswahili sanifu.
Date posted: December 6, 2021 . Answers (1)
Huku ukitoa mfano mwafaka bainisha tofauti za kifonolojia na kimofolojia katika lahaja za kimvita ,kivumba na kiswahili sanifu
Eleza matatizo mbalimbali yanayowakumba watafiti wanapojaribu kuhesabu na kuainisha lahaja za lugha
Taja lahaja zinazopatikana katika lugha yako iwapo zipo kisha eleza jinsi zilizuka
Fafanua sababu zilizotatiza kukua na kuenea kwa lugha ya Kiswahili nchini Uganda kabla ya uhuru
Wajerumani na Wamishonari walikuwa marafiki wakubwa wa Kiswahili? Jadili kauli hii uku ukieleza jinsi walivyochangia maenezi ya lugha hii katika afrika mashariki
Sera ya lugha ya uingereza ilitatiza kukua nakuenea kwa Kiswahili nchini Kenya “ jadili kauli hii kwa tafsili
Eleza kwa nn wafanya biashara waarabu walfanikiwa sana kueneza Kiswahili nchini Tanganyika kuliko Kenya
Kama kiswahili si lahaja ya kiarabu,Basi ni lugha mseto.Taathmini madai haya
Huku ukidondoa ushahidi wa kiisimu jadili madai kwamba kiswahili ni lugha asili ya kiafrika
Ushahidi was kihistoria ni muhimu katika kujadili swala la chimbuko la kiswahili.Jadili kauli hii kwa kurejelea Ushahidi huo
Kwa kutoa mifano fafanua vipengele vitano vya kiisimu vinavyothibitisha kwamba kiswahili ni lugha ya kibantu
Eleza upungufu wa nadharia inayodai kwamba Kiswahili ni lugha ya mseto
Orodhesha maneno mengine ya Kiswahili yakiyokopwa kutoka lugha mbalimbali za kigeni na uzitaje lugha hizo
Je kwa maoni yako, unafikiri asili ya neno 'Kiswahili' ni nini?