-
Ni vipi Kiswahili kinaweza kuimarisha umoja katika Afrika Mashariki na kati?
Date posted:
December 6, 2021
-
"Kiswahili sio lugha ya Afrika Mashariki tu,bali ni lugha ya kimataifa."Jadili kauli hii
Date posted:
December 6, 2021
-
Huku ukitoa mifano jadili matatizo yanayokumba uundaji wa istilahi za kiswahili na jinsi yanavyoweza kutatuliwa
Date posted:
December 6, 2021
-
Kwa kutoa mifano, fafanua mbinu mbalimbali zinazotumiwa kuundia msamiati na istilahi za Kiswahili
Date posted:
December 6, 2021
-
Juhudi za kuendeleza kiswahili nchini Uganda baada ya uhuru bado hazijafaulu" jadili kauli hii
Date posted:
December 6, 2021
-
Eleza ni vipi sheng' inavyoathiri maendeleo ya kiswahili nchini Kenya na hatua zinazoweza kuchukuliwa ili kukabili
Date posted:
December 6, 2021
-
Tathmini mchango wa tume ya Mackey (1981) na time ya Koech (1999) katika kustawisha Kiswahili nchini Kenya
Date posted:
December 6, 2021
-
Eleza jinsi sera ya lugha nchini Tanzania ilivyosaidia lugha ya Kiswahili kupiga hatua kubwa katika matumizi nchini humo kuliko nchini Kenya baada ya uhuru
Date posted:
December 6, 2021
-
Taja vituo mbalimbali vya redio nchini Kenya ambavyo hutangaza kwa Kiswahili kisha ueleze ni vipi lugha hii inaendelezwa katika vituo hivyo
Date posted:
December 6, 2021
-
Tathmini kiwango cha matumizi ya lugha ya Kiswahili katika vituo vya redio na magazeti ya Tanzania
Date posted:
December 6, 2021
-
Kiswahili kinahitaji kusanifisha upya.Jadili kauli hii
Date posted:
December 6, 2021
-
Tathmini mchango wa kamati ya Kiswahili ya Afrika Mashariki(K.K.A.M) katika kusanifisha lugha ya Kiswahil
Date posted:
December 6, 2021
-
Eleza ni kwa nini lugha ya Kiswahili ilisanifishwa wakati wa ukoloni
Date posted:
December 6, 2021
-
Eleza ni kwa nini lahaja ya kiunguja ilichaguliwa kwa msingi wa kusanifisha lugha ya kiswahili na wala sio kimvita au kiamu
Date posted:
December 6, 2021
-
Huku ukitoa mfano mwafaka bainisha tofauti za kifonolojia na kimofolojia katika lahaja za kimvita ,kivumba na kiswahili sanifu
Date posted:
December 6, 2021
-
Eleza matatizo mbalimbali yanayowakumba watafiti wanapojaribu kuhesabu na kuainisha lahaja za lugha
Date posted:
December 6, 2021
-
Taja lahaja zinazopatikana katika lugha yako iwapo zipo kisha eleza jinsi zilizuka
Date posted:
December 6, 2021
-
Fafanua sababu zilizotatiza kukua na kuenea kwa lugha ya Kiswahili nchini Uganda kabla ya uhuru
Date posted:
December 6, 2021
-
Wajerumani na Wamishonari walikuwa marafiki wakubwa wa Kiswahili? Jadili kauli hii uku ukieleza jinsi walivyochangia maenezi ya lugha hii katika afrika mashariki
Date posted:
December 6, 2021
-
Sera ya lugha ya uingereza ilitatiza kukua nakuenea kwa Kiswahili nchini Kenya “ jadili kauli hii kwa tafsili
Date posted:
December 6, 2021
-
Eleza kwa nn wafanya biashara waarabu walfanikiwa sana kueneza Kiswahili nchini Tanganyika kuliko Kenya
Date posted:
December 6, 2021
-
Kama kiswahili si lahaja ya kiarabu,Basi ni lugha mseto.Taathmini madai haya
Date posted:
December 6, 2021
-
Huku ukidondoa ushahidi wa kiisimu jadili madai kwamba kiswahili ni lugha asili ya kiafrika
Date posted:
December 6, 2021
-
Ushahidi was kihistoria ni muhimu katika kujadili swala la chimbuko la kiswahili.Jadili kauli hii kwa kurejelea Ushahidi huo
Date posted:
December 6, 2021
-
Kwa kutoa mifano fafanua vipengele vitano vya kiisimu vinavyothibitisha kwamba kiswahili ni lugha ya kibantu
Date posted:
December 6, 2021
-
Eleza upungufu wa nadharia inayodai kwamba Kiswahili ni lugha ya mseto
Date posted:
December 6, 2021
-
Orodhesha maneno mengine ya Kiswahili yakiyokopwa kutoka lugha mbalimbali za kigeni na uzitaje lugha hizo
Date posted:
December 6, 2021
-
Je kwa maoni yako, unafikiri asili ya neno 'Kiswahili' ni nini?
Date posted:
December 6, 2021