-
Eleza maana ya vikwamizo.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza maana ya vipasuo
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza maana ya viyeyusho
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza mahali ambapo kila irabu za kiswahili hutamkiwa na jinsi zinavyotamkwa.
Date posted:
August 5, 2018
-
Taja aina tofauti za ala za sauti.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza aina tofauti za sauti katika lugha ya Kiswahili.
Date posted:
August 5, 2018
-
Nini maana ya shadda au mkazo.
Date posted:
August 5, 2018
-
Nini maana ya silabi?
Date posted:
August 5, 2018
-
Ukusanyaji na uhifadhi wa fasihi ni muhimu kwa sababu zipi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Filamu zina changamoto kadhaa ambazo hutatiza matumizi yake kuhifadhi fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Taja udhaifu wa vinasasauti katika uhifadhi wa fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Vinasasauti vinatumika kuhifadhi data ya fasihi kwa sababu gani.
Date posted:
August 5, 2018
-
Udhaifu unakabili matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi data.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi fasihi kisha utaje umihimu wake.
Date posted:
August 5, 2018
-
Taja sababu ambazo wewe kama anayekusanya kazi ya fasihi zingechnagia kutotumia mahojiano.
Date posted:
August 5, 2018
-
Mahojiano ninjia mojawapo ya kukusanya kazi ya fasihi.eleza maana yake huku ukitolea umihumu wake.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza sababu ambazo zinafanya hojaji zisitumiwe kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza matumizi ya hojaji katika kukusanya fasihi huku ukieleza aina tofauti za hojaji
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza umuhimu wa kutazama kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza kutazama kama njia ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Fafanua kurekodi kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza udhaifu wa kushiriki kama njia ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza maana ya kushiriki kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi huku ukitoa umuhimu wake.
Date posted:
August 5, 2018
-
Mkusanyaji wa fasihi anafaa kufuata hatua zipi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza maana ya misemo huku ukitolea mifano.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza dhima ya nahua katika fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza maana ya nahau.
Date posted:
August 5, 2018
-
Eleza dhima ya mafumbo.
Date posted:
August 5, 2018