-
Explain four conditions favouring dairy farming in the Kenyan highlands.
Date posted:
February 23, 2018
-
Name the dairy breeds of cattle kept in Kenya.
Date posted:
February 23, 2018
-
Name several examples of secondary industries in Kenya.
Date posted:
February 23, 2018
-
(i) Name two trading blocs in Africa of which Kenya is a member.
(ii)State three benefits of trading blocs to the economies of African countries.
Date posted:
February 23, 2018
-
Which colour is used on maps to represent mountain peaks?
Date posted:
February 23, 2018
-
(a)Name two areas where gold is mined in the Republic of South Africa.
(b)State three contributions of gold mining to the economy of the Republic of South Africa.
Date posted:
February 23, 2018
-
State three reasons why river transport is less developed in Africa.
Date posted:
February 23, 2018
-
Name two navigable rivers in Africa.
Date posted:
February 23, 2018
-
(a) State three processes by which flowering plants excrete waste products and for each process name two waste products that are eliminated.
(b) Describe the functions of the various components of the mammalian blood.
Date posted:
February 23, 2018
-
(a) Describe the photosynthetic theory of opening and closing of the stomata.
(b) Describe the regulation of blood sugar level in man.
Date posted:
February 23, 2018
-
Describe the uptake and movement of water from the soil to the leaves of a tall plant till transpiration
Date posted:
February 23, 2018
-
State three functions of a purchase description.
Date posted:
February 23, 2018
-
What were the negative effects of Indian Ocean trade?
Date posted:
February 22, 2018
-
Is basic slug a compound fertilizer?
Date posted:
February 22, 2018
-
“Betrayal in the City” Francis Imbuga.
“When the Madness of the entire nation disturbs a solitary mind, it is not enough to say the man is mad”. Basing your answer on Francis Imbuga’s Betrayal in the City show the validity of this statement.
Date posted:
February 22, 2018
-
Jadili jinsi maudhui ya usaliti yanavyofafanuliwa katika tamthilia ya mstahiki Meya.
Date posted:
February 22, 2018
-
Riwaya ya kidagaa imeangazia maudhui ya utengano. Thibitisha.
Date posted:
February 22, 2018
-
Relate the teaching from Nehemiah’s exemplary life to Christian life today
Date posted:
February 22, 2018
-
How do Christians continue being co-creators with God?
Date posted:
February 22, 2018
-
Identify the books in the bible referred to as writings
Date posted:
February 22, 2018
-
Explain the term “cogeneration” and give two possible ways of cogeneration
Date posted:
February 22, 2018
-
What is meant by grading of cables? Explain the two methods of grading
Date posted:
February 22, 2018
-
Explain the different methods of starting an induction motor.
Date posted:
February 22, 2018
-
Lugha huchangia vipi kuleta;
i) Utengano
ii) Utangamano katika jamii
Date posted:
February 22, 2018
-
Eleza majukumu manne yanayotekelezwa na lugha katika jamii
Date posted:
February 22, 2018
-
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.
Ni dhahiri shahiri kwamba uharamia umechipuka kama desturi na mfumo wa maisha katika siku za hivi karibuni. Janga hili limeshamiri hususan pembeni mwa bara la Afrika na kanda ya Afrika Mashariki.Taarifa za uharamia zimetawala vyombo vya habari, kiasi cha kwamba haipiti siku bila kuripotiwa visa vipya vya matendo haya mabovu ambayo yanaweza tu kumithilishwa na uhayawani.Matukio haya yamewalimbikizia mabaharia na nchi husika, simanzi na masaibu yasiyoweza kutiwa kwenye mizani.
Yumkini tatizo hili halitokei pasi na kumotishwa na kitita kikubwa cha fidia kinachodaiwa na maharamia hawa. Aghalabu, suala hili lahusishwa pakubwa na azma na ari ya kuendeleza ujambazi wa kimataifa sawia na ulipuaji wa bomu mijini Nairobi na Dar es Salaam mnamo Agosti 7,1998, na tukio la Septemba 11, mwaka wa 2001 kule Marekani.Maafa na uharibifu wa mali si hoja, la mno kwa maharamia ni kutosheleza matakwa yao. Kwa upande mwingine, ukosefu wa tawala-wajibika katika maeneo kunakotokea unyama huu ni thibitisho tosha la mazingara yanayowezesha na kuruhusu kuchipuka kwa janga hili.
Mchipuko wa baa la uharamia umelengwa jamii ya kimataifa ambayo ni mhudumu mkuu wa harakati za kusitisha majanga makubwa kama vile njaa, umaskini na magonjwa yaliyosheheni pakubwa barani. Bila shaka, hili ni suala linalosawisishwa na ‘kinyume mbele’. Maharamia wanatishia utangamano wa kimataifa wanapotibua usafiri wa abiria na shehena zinazoelekezwa sehemu tofauti ulimwenguni.
Matumizi ya kidiplomasia na mashauriano hayaelekei kuzalisha matunda katika juhudi za kudhibiti uharamia. Zaidi ya hayo, matumizi ya nguvu yahusishayo mashambulizi pamoja na maharamia kufunguliwa mashtaka nchini Kenya na Ufaransa kunaelekea kuzipiga jeki juhudi za uharamia ulimwenguni.Aidha, utawala wa nchi kunakochipuka uharamia haujajizatiti kuharamisha doa hili linalotisha ustawi wa kimataifa.
Mathalan, ni jambo lisilopingika inapobainika kuwa uharamia umedumaza biashara ya kimataifa, hali inayochangia upungufu na ucheleweshaji wa bidhaa muhimu zinazoendeleza ustawi wa uchumi. Dosari hii inaelekea kukwamiza mojawapo wa malengo ya maendeleo ya milenia yanayosisitiza uimarishaji na ushirikiano wa maendeleo na upanuzi wa masoko ulimwenguni. Harakati za kitalii katika kanda ya mashariki ya bara la Afrika zimehujumiwa. Ni muhali kwa utalii kustawi kwenye maeneo yaliyo na tishio la usalama. ltakumbukwa bayana kwamba watalii hawasafiri tu kwa ndege bali hata kwa meli.
Jitihada za kuweka laini za mawasiliano chini ya bahari ili kurahisisha na kupunguza gharama za mtandao ulimwenguni ni ndoto ambayo haijatimia hadi hivi sasa, kufuatia juhudi za maharamia katika bahari ya Hindi. Kwa mujibu wa hali hii, mawasiliano mepesi na nafuu yasitarajiwe hivi karibuni. Licha ya hayo, shughuli za uvuvi na biashara nyenginezo kwenye kanda ya mwambao zimetiliwa shaka si haba.
Itabidi mikakati na suluhisho la kudumu liweze kupatikana ili vitendo vya uharamia viweze
kusitishwa.
MASWALI
(a) Kwa nini uharamia umetamalaki ulimwenguni?
(b) Fafanua dhana ya ‘kinyume-mbele’ kwa mujibu wa taarifa hii.
(c) Uharamia unaelekea kumtia hofu mwandishi. Fafanua.
(d) Thibitisha kuwa Kenya imeathirika pakubwa kutokana na vitendo vya uharamia
(e) Ukirejelea kifungu, eleza maana ya:
(i) uharamia ………………………………………………………………………………….
(ii) mtandao …………………………………………………………………………………
(iii) mwambao ………………………………………………………………………………
Date posted:
February 22, 2018
-
Highlight economic activities of the Homo sapiens.
Date posted:
February 22, 2018
-
Describe six political challenges which Democratic Republic of Congo (DRC) has faced since independence.
Date posted:
February 22, 2018
-
Identify the motor being used in the ceiling fan and explain the method of its control
Date posted:
February 22, 2018
-
Explain the challenges faced by Non-Aligned movement (NAM)
Date posted:
February 22, 2018