-
Elvis exchanged Ksh.600,000 to Sterling pounds. After settling the bills worth £1200, he changed the balance to Euros. He then purchased goods worthy 200 Euros. Using the exchange rates below, calculate his balance in Kenyan shillings.
Buying (Ksh) Selling (Ksh)
1 Sterling pound 114.20 114.50
1 Euro 101.20 101.30
Date posted:
November 20, 2019
-
Tunga sentensi mbili tofauti ukitumia neno ‘haya’ kama:
(i) Nomino
(ii) Kivumishi
Date posted:
November 20, 2019
-
The positions of three towns on the earth’s surface are given as P (600N, 550W), Q (200S, 550W) S (600N, 1250E) respectively (Take R = 6370km and π = 22/7)
a) Calculate the distance:
i. PQ in nautical miles.
ii. PS along the parallel of latitude in km.
iii. The shortest distance between P and S.
b) A plane leaves town T (840S, 100E) and flies westwards for 6 ½ hrs at a speed of 268 knots and reaches town R (840S, X0). Find the longitude X, give your answer to the nearest degree.
Date posted:
November 20, 2019
-
Sentensi zifuatazo ni za aina gani?
(i) Japo alijitahidi hakufaulu.
(ii) Alijitahidi japo hakufaulu.
Date posted:
November 20, 2019
-
Nyambua kitenzi kifuatacho katika kauli ya kutendama.
‘Shika’
Date posted:
November 20, 2019
-
Huku ukitoa mfano mmoja mmoja fafanua miundo miwili ya ngeli ya U-I.
Date posted:
November 20, 2019
-
Unda kivumishi kutokana na kitenzi ‘sadiki’.
Date posted:
November 20, 2019
-
Tunga sentensi ya neno moja yenye viungo vifuatavyo.
(i) Kiambishi cha nafsi ya kwanza umoja
(ii) Njeo
(iii) Yambwa tendwa
(iv) Mzizi
(v) Kauli ya kufanyiza
(vi) Kiishio
Date posted:
November 20, 2019
-
Taja kiwakilishi ngeli cha nomino ‘UMASKINI’
Date posted:
November 20, 2019
-
Eleza tofauti kati ya kiimbo na shadda.
Date posted:
November 20, 2019
-
Taja sifa mbili za mizizi wa kitenzi.
Date posted:
November 20, 2019
-
Takwimu za tafiti za umaskini kila mara huonyesha kuwa bara la Afrika ndilo bara maskini kabisa kote duniani. Takriban wakaazi kiasi cha asilimia themanini hawawezi kumudu kutumia dola moja kwa siku. Toka kaskazini hadi kusini. mashariki hadi magharibi mwa bara, makaazi ya vibanda yametamalaki. Wakaazi wengi hulala njaa kutokana na ukosefu wa chakula. Watu wa mitaani waliovaa mararuraru wamejaa katika miji ya bara hili. Swali ni: Je, kwa nini umaskini umeliganda bara la Afrika hivi mithili ya kupe? Kwa nini bara huselelea katika lindi la uchochole?
Ili kuelewa sababu za umaskini kuganda barani Afrika, yampasa mtu ima fa ima kurejelea historia ya bara hili. Kwa kipindi cha karne nyingi, Afrika ilidhibitiwa na walowezi pamoja na mabeberu. Wanawake ambao wangelistwawisha bara hili kiuchumi walitwaliwa kimabavu na kupelekwa, huku wamefungwa minyororo, kustawisha uchumi wa mabara mengine. Afrika ikaporwa nguvu ambayo ni rasilmali kuu katika ustawishaji wa uchumi. La kusikitisha ni kuwa Afrika haikufidiwa kutokana na wizi huu. Badala yake iliongezewa mizigo mingine.
Baada ya kipindi cha biashara ya utumwa kumalizika, Afrika ilijipata katika janga jingine. Wakoloni wakaliingilia bara kwa pupa. Wakaligawanya katika koloni mbalimbali miongoni mwao. Wakaingiwa na wendawazimu kuiba malighafi ya bara hili. Wakaiba mashamba, madini, miti na chochote cha maana walichokipata. Badala ya malighafi haya kutumika kunawirisha bara la Afrika, yalitwaliwa kustawisha chumi za walikotoka wakoloni. Afrika ikaachwa kuzidi kudidimia katika lindi la umaskini.
Wakoloni walipotoka barani Afrika na kuzipa dola nyingi za Afrika ‘uhuru’, waliacha mkururo wa madhila. Madhila haya hayangeikubalia Afrika kujikomboa kutoka katika biwi la uchochole. Tatizo la kwanza na kubwa zaidi ni wakoloni kugawanya na kukatakata Afrika katika mataifa mengi. Mgawanyo huu ukawa haukufuata utaratibu wowote. Kwa sababu hii, watu wa nasaba moja wakawekwa katika nchi tofauti. Mathalani , watu wa nasaba ya Kisomali waligawanywa na kuwekwa chini ya nchi huru ya Somali, wengine chini ya dola la Uhabeshi, huku wengine wakiwa nchini Kenya na Jibuti. Watu kama hawa hawakutaka mpango huu. Waliokuwa Kenya na Uhabeshi wakachukua silaha na kupigana ili warejeshwe chini ya himaya moja ya taifa huru la Somali. Watu kama hawa wakatumia muda mwingi kupigana; muda ambao ungetumika kuinua Afrika kiuchumi. Mapigano haya ya wenyewe kwa wenyewe yamekithiri kote katika bara la Afrika.
Halikadhalika, mkoloni hakufanya juhudi zozote za kuanzisha viwanda ambavyo vingenyanyua uchumi wa Afrika na kuwatoa Waafrika katika biwi la ufukara. Palipokuwa na ari yoyote ya kuanzisha kiwanda, kilipoanzishwa hakikusaidia Afrika kiuchumi. Vilikuwa viwanda vya kupunguza zigo la bidhaa na kuzifanya kuwa nyepesi ili zisafirishwe kwa ajili ya viwanda vya nchi walizotoka wakoloni.
Kwa kipindi cha muda ambao mkoloni amekuwa na maingiliano na wakaazi wa Afrika, amehakikisha kuwa mwafrika amekuwa mtegemezi wake. Malighafi ya Afrika yalipelekwa kutayarishiwa viwanda vya wakoloni. Kisha mwafrika alirudishiwa zikiwa bidhaa kamili za kutumiwa. Mwafrika akaonyeshwa kuwa chochote kilichotoka kwa wakoloni ni bora zaidi ya chake alichozalisha. Hii ikawa ni mbinu moja ya wakoloni kuwafukarisha Waafrika. Hata sasa, kilichotoka Ulaya, hata kama ni cha hali ya chini, huonekana bora zaidi kuliko alichozalisha Mwafrika
Kwa upande mwingine, inadhihirika kuwa wakoloni hawajawahi kuondoka na kuwaachia Waafrika jukumu kamili la kuendesha uhuru wao kisiasa, kijamii na kiuchumi. Waliondoka kupita mlango mmoja na kurudi kwa wa pili. Mlango wa pili ukawa ni ukoloni kuchukua sura nyingine, sura ya ukoloni mamboleo. Kupitia ukoloni huu, wakoloni hudhibiti uchumi na maendeleo ya Afrika kupitia asasi mbili walizozianzisha, yaani Benki Kuu ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani. Ili kupata mikopo ya maendeleo, asasi hizi hutoa masharti ambayo hukwamiza badala ya kuchangia kuleta maendeleo barani Afrika.
Sasa hivi pana haja ya wana wa Afrika kufanya vikao vya dhurura ili kujadiliana kuhusu suluhisho la tatizo hili sugu la umaskini barani. Lazima wawahimize Waafrika wote kujikomboa kiakili na kung’amua kuwa maendeleo ya bara lazima yaongozwe na yadhibitiwe na Waafrika wenyewe. Wawahimize kuacha hulka za kukimbilia mataifa yaliyowafanya watumwa na kuwakalia kikoloni kwa misaada ya maendeleo. Misaada hii si ya dhati bali ni ya chati na hailengi kuondoa umaskini barani bali kuuendeleza.
Pana haja pia Waafrika kuwa na miungano ya kiuchumi. Miungano hii husaidia katika uteteaji wa soko pamoja na bei za bidhaa zao ikilinganishwa na taifa moja kuyaendeleza mambo haya. Halikadhalika, Waafrika wanapaswa kutambua kile wanachotaka na kupanga mikakati ya kufikia mahitaji ya kimsingi kwa wananchi wake. Kwa mfano, uimarishaji wa mbinu msingi ambazo zitachangia kuimarisha uchumi wa mataifa wahitaji kuwa mstari wa mbele badala ya ununuzi wa magari na ndege za hadhi za kuwabebea viongozi.
(a) Ipe taarifa uliyoisoma anwani mwafaka.
(b) Kutamalaki kwa umaskini barani Afrika kunadhihirishwa na nini.
(c) Onyesha jinsi ambavyo wakoloni wameendeleza umaskini barani Afrika.
(d) Thibitisha kwa kutoa hoja tatu, dhana ya kuwa “Waafrika wenyewe ndio wamechangia kuwepo kwa umaskini wa bara la Afrika.”
(e) Umaskini barani Afrika unaweza kukabiliwa vipi kwa mujibu wa makala haya?
(f) Eleza msamiati ufuatao kama ulivyotumika katika taarifa:
(i) kuselelea……………
(ii) mabeberu…………
Date posted:
November 20, 2019
-
Explain six negative effects of Trans Saharan trade on African communities.
Date posted:
November 20, 2019
-
Identity the main decision-making organ of the United Nations.
Date posted:
November 20, 2019
-
Name one statesman who dominated the Paris peace conference after world War I.
Date posted:
November 20, 2019
-
State two problems experienced by non-assimilees in French West Africa.
Date posted:
November 20, 2019
-
Give two ways used by the Kabaka to award Bataka chiefs in Buganda.
Date posted:
November 20, 2019
-
A transformation whose matrix is
maps a quadrilateral ABCD onto another quadrilateral A’B’C’D’ whose area is 540𝑐𝑚2. Find the area of the quadrilateral ABCD.
Date posted:
November 20, 2019
-
Two machines M and N produce 60% and 40% respectively of the total number of items manufactured in a factory. It is observed that 5% of items produced by machine M are defective while 3% of the items produced by machine N are defective. If an item is selected at random from the factory, find the probability that it is defective.
Date posted:
November 20, 2019
-
Trains A and B are moving in opposite directions on parallel tracks. Train A is 56 metres long and is moving at a speed of 63km/h. Train B is 90 metres long and is moving at a speed of 45km/h. The two trains are about to start passing each other. Calculate the time, to the nearest second, that they will take to completely pass each other.
Date posted:
November 20, 2019
-
ABCD and MNPQ in the figure below are two shutters of a window. The shutters are identical and square in shape. Both shutters are opened through an angle of 58°.
If each edge of the shutter is 70cm long, find the shortest distance from C to M.
Date posted:
November 20, 2019
-
Identify two discoveries which aided navigation between the 12th and 14th centuries.
Date posted:
November 20, 2019
-
Give disadvantages of currency as a medium of exchange.
Date posted:
November 20, 2019
-
State two advantages of bipedalism to the early man.
Date posted:
November 20, 2019
-
Using matrices solve the following pair of simultaneous equations
6y − 2x + 20 = 0
3x − 7y − 26 = 0
Date posted:
November 20, 2019
-
Two taps, A and B, when opened at the same time can fill a tank in 3 hours 36 minutes. Tap A working alone takes 3 hours longer than Tap B to fill the tank. How many hours does it take Tap A alone to fill the tank?
Date posted:
November 20, 2019
-
State three social causes of conflict in Kenya.
Date posted:
November 20, 2019
-
Point M is the midpoint of a straight line XY. If the position vectors of Y and M are 3i + 4j − 2k and 3j − 0.5k respectively. Find the position vector of X, hence the magnitude of XY.
Date posted:
November 20, 2019
-
Describe six features of the philosophy of African Socialism.
Date posted:
November 20, 2019
-
Without using mathematical tables or calculators, simplify
Date posted:
November 20, 2019