-
Riwaya ya Kidaa Kimemwozea.
"Hizi kurani zako ndizo zifanyazo nisije huku …"
a) Eleza muktadha wa maneno haya.
b) Eleza umuhimu wa mrejelewa katika dondoo hili kwenye riwaya.
c) Eleza maisha ya msemaji yalivyokuwa kwa mujibu wa Riwaya ya Kidaa Kimemwozea.
Date posted:
October 2, 2019
-
How can Christians help in the fight against drug abuse?
Date posted:
October 2, 2019
-
State six instances, when the unity of believers becomes threatened in Kenya today.
Date posted:
October 2, 2019
-
Highlight five Mijikenda clans.
Date posted:
October 2, 2019
-
List down two items of trade from East Africa during the Indian Ocean trade.
Date posted:
October 2, 2019
-
Which was the first animal to be domesticated by man.
Date posted:
October 2, 2019
-
Give five reasons/ factors that led to migration of Bantu communities.
Date posted:
October 2, 2019
-
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.
Lugha inaweza kuelezwa kwa jumla kuwa ni mfumo wa mawasiliano.Haiyamkiniki kwa mtu yeyote kueleza chanzo au kiini cha lugha na sote tunakubalina kuwa matumizi yake yameanza tangu kuumbwa kwa binadamu kwani ni vigumu kukisia kuwepo kwa jamii ya watu bila lugha ya mawasiliano yoyote ile.
Katika taifa lolote,huwapo na lugha moja au hata zaidi ya moja ambayo huwa ndicho chombo zatika cha mawasiliano ya taifa katika nyanja za:elimu maandishi,siasa na biashara.Kwa mfano mataifa ya Kanada hutumia lugha mbili kwa usawa kama lugha za taifa na za kikazi.Maana ya lugha ya taifa ni lugha moja ambayo huteuliwa kutumika katika shughuli zote za taifa hasa katika nchi yenye lugha nyingi za kikabila.Lugha ya taifa ni muhimu sana kwa maisha na maendeleo ya taifa lolote lile.Lugha hii huwa ndiyo kiungo cha kueneza umoja na uelewano miongoni mwa jamii nyingi tofauti na huwa kama kitambulisho kwao kwa kuwa wao ni ndugu wa jamii moja kubwa,yaani taifa lao.
Kenya ni mfano mzuri wa taifa lenye lugha nyingi zinazozidi 40 za vikundi vidogo vidogo vya kikabila.Hapo kabla ya miaka mia moja hivi iliyopita kila kimojawapo cha vikundi hivi kilijitambulisha kama kabila huru.Baada ya kuja kwa serikali ya kikoloni na hasa baada ya Kenya kujinyakulia uhuru,haja ya kuunganisha raia wote chini ya taifa moja lenye uongozi na shabaha moja ilikuwa ndilo jambo lililozingatiwa sana.Kwa hivyo utamaduni wa taifa Kenya ni mchanganyiko wa tamaduni za watu wengi wenye mila,desturi,imani na itikadi tofauti.Utamaduni humaanisha jumla ya amali na tabia za watu wa jamii fulani.Amali hizi zinafungamanisha fikira,ustaarabu,mila,taasisi na sanaa za aina zote za jamii inayohusika.
Ili kujieneza na kujiimarisha,taifa huhitaji chombo hicho kuwasiliana na kuwaunganisha watu wake wenye asili mbalimbali. Chombo hicho huwa ni lugha ambayo siyo tu kwamba ni sehemu ya utamaduni wa jamii bali pia ni njia muhimu sana ya kutawanyia na kustawishia ule utamaduni.
Katika taifa lenye lugha nyingi kama Kenya kwa mfano,lugha ya taifa inayozungumzwa na kueleweka na baadhi kubwa ya raia ambayo imekiuka mipaka na tofauti za kikabila ni njia muhimu sana ya kueneza maongozi ya taifa na kuleta ufahamikiano bora kote nchini.Kama
zilivyo taasisi kama wimbo wa taifa,bendera ya taifa au bunge la taifa, lugha ya taifa ndicho kielelezo cha taifa lolote lile.Lugha kama hiyo huvunja na hukomesha hisia za kibinafsi na kikabila na badala yake kuunda moyo wa uaminifu wa kitaifa.
Zaidi ya kuwa chombo cha mawasiliano,lugha ni kielelezo cha fikira na hisia za binadamu.Lugha ya watu fulani haituelezi tu ujuzi au maarifa yao bali pia mtazamo wao kimaisha,falsafa na mawazo yao.Kwa ufupi lugha hutufahamisha namna akili za watu waizungumzayo ile lugha zinavyofikiri na kufanya maazimio.Lugha ni sehemu ya utamaduni wa taifa tulimozaliwa na lazima lugha hiyo ifunzwe katika muktadha wa maisha ya jamii ihusikayo.Utamaduni wa jamii havitenganiki na lugha yake.
Maswali
(a) Huku ukirejelea kifungu, eleza fasiri na chanzo cha lugha.
(b) Tofautisha baina ya lugha ya taifa na lugha ya kikazi.
(c) Kwa nini lugha ya taifa huhitajika sana katika nchi kama Kenya.
(d) Eleza kazi nne kuu zinazotekelezwa na lugha ya taifa.
(e) Eleza maana ya mafungu yafuatayo kama yalivyotumiwa katika taarifa:
(i) Amali na tabia za watu:
(ii) Muktadha wa maisha ya jamii:
(iii) Haiyamkiniki:
(f)Eleza majukumu mawili ya lugha kwa ujumla
Date posted:
October 2, 2019
-
Taja madhumuni ya kusanifisha lugha ya Kiswahili nchini
Date posted:
October 2, 2019
-
Identify two hominids involved in the stages of evolution of man.
Date posted:
October 2, 2019
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali
Mwanafunzi aliyeondoka jana alishindwa kumwona
Date posted:
October 2, 2019
-
Give two functions of warriors in African Traditional community.
Date posted:
October 2, 2019
-
Give three factors that make camel a good pack animal.
Date posted:
October 2, 2019
-
Give three factors that led to rise of scientific inventions.
Date posted:
October 2, 2019
-
Identify five levels of conflicts in history and government.
Date posted:
October 2, 2019
-
Mention six extra ordinary things in the birth stories of Jesus.
Date posted:
October 2, 2019
-
Bainisha matumizi ya viambishi vilivyopigiwa mistari katika sentensi
i)Yego ana ujuzi mwingi
ii) Yule mfanyibiashara aliyejidanganya amepata hasara
Date posted:
October 2, 2019
-
Describe five impacts of the First Lancaster House Conference of 1960.
Date posted:
October 2, 2019
-
Tunga sentensi sahihi kuonyesha wakati uliopo usiodhihirika
Date posted:
October 2, 2019
-
Damu nyeusi na hadithi zingine
"Leo ni siku, siku ya nyani kufa ambapo miti yote huteleza"
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Bainisha tamathali mbili za usemi zinazojitokeza katika dondoo hili.
c) Huku ukitoa mifano, thibitisha maudhui sita ambayo yamejitokeza katika hadithi ya Damu Nyeusi na wanayoyaendeleza.
Date posted:
October 2, 2019
-
Explain four ways in which western education has affected kinship ties in the society today.
Date posted:
October 2, 2019
-
Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli kwenye mabano
1. Oa (kufanyiza)
2. -la- (kufanyana )
3. Dhuru (fanyika)
Date posted:
October 2, 2019
-
Give the political parties that represented Kenya during the 2nd Lancaster House Conference of 1962.
Date posted:
October 2, 2019
-
Name the body in charge of election in Kenya.
Date posted:
October 2, 2019
-
Andika upya sentensi zifuatazo kwa kutumia jina jingine lililo na maana sawa na lililopigiwa mstari
i. Ni nadra sana kumpata msichana asiyetoga masikio siku hizi
ii. Zahama ilizuka wafanyikazi walipogoma
iii. Lengo la kila mwanafunzi ni kupasi mtihani
Date posted:
October 2, 2019
-
Name two cash crops that Africans were prohibited from growing.
Date posted:
October 2, 2019
-
Explain why Christians should fight against bribery and corruption in Kenya today
Date posted:
October 2, 2019
-
Identify one reason why trade unions were not formed in Kenya by 1914.
Date posted:
October 2, 2019
-
Identify two special groups whose rights are protected by Kenyan constitution.
Date posted:
October 2, 2019
-
Tumia neno vizuri kama:
i) Kielezi
ii)Kiwakilishi
Date posted:
October 2, 2019