-
Give three factors that led to rise of scientific inventions.
Date posted:
October 2, 2019
-
Identify five levels of conflicts in history and government.
Date posted:
October 2, 2019
-
Mention six extra ordinary things in the birth stories of Jesus.
Date posted:
October 2, 2019
-
Bainisha matumizi ya viambishi vilivyopigiwa mistari katika sentensi
i)Yego ana ujuzi mwingi
ii) Yule mfanyibiashara aliyejidanganya amepata hasara
Date posted:
October 2, 2019
-
Describe five impacts of the First Lancaster House Conference of 1960.
Date posted:
October 2, 2019
-
Tunga sentensi sahihi kuonyesha wakati uliopo usiodhihirika
Date posted:
October 2, 2019
-
Damu nyeusi na hadithi zingine
"Leo ni siku, siku ya nyani kufa ambapo miti yote huteleza"
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Bainisha tamathali mbili za usemi zinazojitokeza katika dondoo hili.
c) Huku ukitoa mifano, thibitisha maudhui sita ambayo yamejitokeza katika hadithi ya Damu Nyeusi na wanayoyaendeleza.
Date posted:
October 2, 2019
-
Akifisha sentensi:
lo unaweza kuubeba mzigo huo pekeyo mzee alishangaa
Date posted:
October 2, 2019
-
Explain four ways in which western education has affected kinship ties in the society today.
Date posted:
October 2, 2019
-
Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli kwenye mabano
1. Oa (kufanyiza)
2. -la- (kufanyana )
3. Dhuru (fanyika)
Date posted:
October 2, 2019
-
Give the political parties that represented Kenya during the 2nd Lancaster House Conference of 1962.
Date posted:
October 2, 2019
-
Name the body in charge of election in Kenya.
Date posted:
October 2, 2019
-
Andika upya sentensi zifuatazo kwa kutumia jina jingine lililo na maana sawa na lililopigiwa mstari
i. Ni nadra sana kumpata msichana asiyetoga masikio siku hizi
ii. Zahama ilizuka wafanyikazi walipogoma
iii. Lengo la kila mwanafunzi ni kupasi mtihani
Date posted:
October 2, 2019
-
Name two cash crops that Africans were prohibited from growing.
Date posted:
October 2, 2019
-
Explain why Christians should fight against bribery and corruption in Kenya today
Date posted:
October 2, 2019
-
Identify one reason why trade unions were not formed in Kenya by 1914.
Date posted:
October 2, 2019
-
Mstahiki Meya
Kwa kutoa mifano kumi,eleza vizingiti walivyokumbana navyo wanacheneo wakati wa kupigania mageuzi.
Date posted:
October 2, 2019
-
Identify two special groups whose rights are protected by Kenyan constitution.
Date posted:
October 2, 2019
-
Tumia neno vizuri kama:
i) Kielezi
ii)Kiwakilishi
Date posted:
October 2, 2019
-
Why was 1957 elections important in the history of Kenya.
Date posted:
October 2, 2019
-
Weka shadda kwa neno WALAKINI ili kuonyesha maana mbili
Date posted:
October 2, 2019
-
Identify the name of the council of elders among Mijikenda community.
Date posted:
October 2, 2019
-
Mstahiki Meya
"Iwapo umefanya, yapo mengi ambayo hayakunyoka."
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Tambua mbinu moja iliyotumika katika muktadha wa dondoo.
c) Fafanua kauli kwamba"yapo mengi ambayo hayakunyoka".
d) Eleza jinsi baadhi ya wahusika walivyojaribu kuyanyoosha.
Date posted:
October 2, 2019
-
Give two functions of age set among the Agikuyu in pre-colonial Kenya.
Date posted:
October 2, 2019
-
Tumia ‘po’ kutunga sentensi ya kuleta dhana ya wakati maalum
i) Wakati maalum
ii) Wakati usiodhihirika
Date posted:
October 2, 2019
-
Give the main source of information on unwritten history.
Date posted:
October 2, 2019
-
Tunga sentensi yenye maneno N + V + E + E + T + N
Date posted:
October 2, 2019
-
Toa mifano miwili ya aina za nomino zifuatazo
i)nomino mseto
ii) nomino za wingi
iii) nomino za fikra
Date posted:
October 2, 2019
-
Kidagaa kimemwozea
"Umenena ndipo ndugu yangu. Hiyo ndiyo tanzia ya Afrika huru."
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Ni nini sifa za mvuto zinazowaleta pamoja mzungumzaji na mzungumziwa.
c) Tambua na ufafanue mbinu inayotumika katika dondoo.
d) Kwa mifano mwafaka fafanua tanzia hiyo inayorejelewa katika dondoo.
Date posted:
October 2, 2019
-
Describe the way of life of human beings during the late stone age period.
Date posted:
October 2, 2019