Aina Za Riwaya Na Mifano Yake

Institution: Kenyatta University

Course: Bachelor of Arts

Content Category: Summaries

Posted By: KENYASTUS

Document Type: PDF

Number of Pages: 2

Price: KES 100
Buy with Email    Buy via WhatsApp
    

Views: 7944     Downloads: 20

Summary

AKS 201: Introduction to the study of Literature

INAONYESHA AINA ZA RIWAYA NA MIFANO YAKE

Aina za riwaya na mifano
Riwaya ni kisa cha kubuni chenyew tukio moja kilichoandikwa ki9nadharia chenye maudhui mengi na wahusika waliosawiriwa kwa undani chenye upana na mawanda mengi.

Kuna aina sita za riwaya :
• Riwaya za kijazanda
• Riwaya za upelelezi
• Rawaya za kihalisia
• Riwaya za uhalisia wa jamii
• Riwaya za utamaushi riwaya za wasifu na tawasifu.

1. Riwaya za kijazanda.
Riwaya za kijazanda pia huitwa riwaya za kimafumbo au riwaya za kimajazi. Katita aina hzi za riwaya, mwandishi hutumia majina ya wahusika na mahali kimafumbo ili kuuficha ukweli wake au kuficha maudhui yake. Mwandishi huficha maudhui yake ili kumpa msomaji wake kazi ya kutafakari ili apate jibu kamili.
Mifano ya aina hizi ni kama vile mafuta kilichoandikwa na k. Mkangi.
..................................Continued


Below is the document preview. Purchase to access the complete document.

  • 5462_0.jpg
........

This is the end of this document preview. Buy to download the complete document.


More Resources


More Content By KENYASTUS


View all resources