
(a) (i) Shairi huru (1 x 1 = alama 1)
(ii) - Vina vinabadilikabadilka.
- Idadi ya mizani katika kila mishororo ni tofauti.
- Idadi ya vipande si sawa katika kila msororo.
- Shairi halina kibwagizo. (zozote 3x1 = alama 3)
(b) Uhuru / idhini ya mshairi
• Kuboronga sarufi mf. Nje na ndani ya nyumba watazunguka – watazunguka nje na ndani ya nyumba n.k.
• Inkisari mf. Kaziyo – kazi yako. (2 x 2 = alama 4)
(c) Uhaishaji – Jingi jasho likuoshe.
Tanakuzi – Nje na ndani ya nyumba usiku mchana uwasake.
Taswira – Kifo cha mende … sharti miguu juu.
Ufyeke, upime na uweke nguzo, kisha paa uweke na ukandike. (zozote 2x2 = alama 4)
(d) - Na uweke dawa nyingi hata nyumba.
- Uihame na ukae nje siku nzima ukisubiri.
- Ukirudi usiku, bado utakuta ni wazima.
- Wamelala kwani mende ni vichwa vigumu.
- Hawafi kwa urahisi. (zozote 4x1 = alama 4)
(e) - Ukijenga nyumba yako, hutakaa sana bila kuingiliwa na wageni.
- Hata mende wataanza kutalii bila ruhusa na bila woga wakila ulicho nacho wakuachie masalio.
- Hata ukiweka dawa hawafi.
- Mende wakifa ni sharti miguu iwe juu.
- Haiwezekani mtu kuishi pweke kwenya nyumba. (zozote 2x1 = alama 2)
(f) - Kisha paa uweke na ukaandike
- Siku nyingi bila kuingiliwa na mgeni hutakaa (1 x 1 = alama 1)
(g) - Mende
- Kifo cha mende
- Mende nyumbani (1 x 1 = alama 1)
ESTHER STEVE answered the question on April 30, 2018 at 20:04
-
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano...
(Solved)
(a) Katika jamii huwa wakati mwingine kuna matumizi ya lugha isiyo ya kistaarabu.taja mifano mitano ya lugha ya sampuli hiyo. ( alama 5)
(b) Taja mambo matano yanayoathiri jinsi tunavyoweza kutumia lugha katika jamii(mtindo nafsi na mtu)
MAJIBU
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
(Solved)
(a) Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i) Lafudhi
ii) Lahaja
iii) Rejesta
Taja sifa nne za sajili ya wanasiasa (alama 4)
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
(Solved)
Mifano miwili ya fomyula ya ufunguzi wa hadithi
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
(Solved)
Eleza vigezo vya kutumia katika uchambuzi wa lugha
Date posted:
April 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
(Solved)
Jadili ufaafu wa anwani "kigogo" katika tamthilia ya kigogo
Date posted:
April 29, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha. (b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha
(Solved)
(a) Nini maana ya kufa kwa lugha.
(b) Eleza sababu zozote tano zinazochangia kufa kwa lugha.
(c) Taja aina tatu za makosa ya lugha.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji 2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
(Solved)
1. Eleza maana ya istilahi hii: Usanifishaji
2. Eleza mambo manne yaliyochangia maenezi ya kiswahili kabla ya uhuru.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
(Solved)
Tamaa inatawala katika Tamthilia ya Kigogo. Dhibitisha
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili maudhui ya utabaka katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Ichambue jalada ya tamthilia ya Kigogo
Date posted:
April 28, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
(Solved)
Eleza tofauti kati ya malumbano ya utani na mawaidha
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa ngomezi.
(Solved)
Eleza umuhimu wa ngomezi
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
(a) Eleza maana ya mivigo na inakotumika (b) Eleza sifa za miviga (c) Onyesha umuhimu wa miviga.
(Solved)
(a) Eleza maana ya mivigo na inakotumika
(b) Eleza sifa za miviga
(c) Onyesha umuhimu wa miviga.
Date posted:
April 27, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa za mawaidha ukizingatia: hadhira, fanani, maudhui, fani
(Solved)
Fafanua sifa za mawaidha ukizingatia
hadhira
fanani
maudhui
fani
Date posted:
April 26, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua aina za nyimbo zifuatazo bembelezi, za sifa, za mapenzi
(Solved)
Fafanua aina za nyimbo zifuatazo bembelezi, za sifa, za mapenzi.
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa Tano bayana Kati ya pijini na Krioli
(Solved)
Taja sifa Tano bayana Kati ya pijini na Krioli
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Tumia neno vibaya kama: kivumishi, kielezi na kiwakilishi
(Solved)
Tumia neno vibaya kama: kivumishi, kielezi na kiwakilishi
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Weka majina haya katika ngeli mbili tofauti. 1.Ua 2. Maziwa 3. Nyanya 4. Tikiti
(Solved)
Weka majina haya katika ngeli mbili tofauti. 1.Ua 2. Maziwa 3. Nyanya 4. Tikiti
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli ya kutendewa.1. Twika 2. Tata
(Solved)
Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli ya kutendewa.1. Twika 2. Tata
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)
-
Andika sentensi sahihi ukitumia viambishi vya hali na nyakati vifuatavyo. 1. Ku 2. Ja 3. A
(Solved)
Andika sentensi sahihi ukitumia viambishi vya hali na nyakati vifuatavyo.
1. Ku
2. Ja
3. A
Date posted:
April 24, 2018
.
Answers (1)