Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Elelza jinsi ya kutatua changamoto zinazomkuba mtafiti

Elelza jinsi ya kutatua changamoto zinazomkuba mtafiti.

Answers


Andrew
Changamoto zinazoweza kumkumba mtafiti huweza kutatuliwa kwa njia zifuatazo:
1. Kumpa fedha za matumizi za kutosha ili asipungukiwe mahitaji yake katika utafiti.
2. Kwa kupata barua na stakabadhi maalum za kumruhusu kufanya utafiti katika eneno aendako.
3. Kujijulisha kwa kina na eneo la utafiti kwa kulizuru mapema.
4. Kutangamana na watu anaoshirikiana nao katika kazi ya ili kusiwe na vurugu na kukataliwa wakati wa utafiti wake.
5. Kutumia vyombo vilvyo hali nzuri ili kuepukana na tatizo la kukosa kukusanya matukio ya utafiti.
6. Kuhifadhi vyema anayopata ili kujikinga na kupotea kwa data muhimu.
Andreaz answered the question on September 6, 2018 at 09:41

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions