Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.

      

Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.

  

Answers


Davis
i)Elimu;wanafunzi waliomo shule za upili na za msingi hufunzwa kiswahili kama somo la lazima
-Dini; wahubiri wengi hutumia lugha ya kiswahili kueneza neno kanisani.
-Magazeti; baadhi ya magazeti kama vile Taifa leo huchapishwa kwa lugha ya kiswahili.
-Vituo vya habari; vituo kadhaa vya redio na runinga hupeperusha habari na matangazo kwa lugha ya kiswahili.
Githiari answered the question on June 9, 2018 at 16:19


Next: 1. (a) Andika sentensi ifuatayo iwe katika hali ya -ki- ya masharti. Tulilala sana tukachelewa kwenda shuleni (b)Taja aina mbili za mofimu. 2 (a)Taja sababu mbili zinazomfanya mzungumzaji kutumia...
Previous: (a)Taja aina nne za nomino (b)Taja ngeli za nomino zifuatazo (i) Ujinga (ii)Ugonjwa (iii)Kucheza (iv)Sukari (v)Barua (vi)Mti

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions