Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.

Fafanua mambo tatu yanayoweza kuifanya lugha ienee.

Answers


Davis
i)Elimu;wanafunzi waliomo shule za upili na za msingi hufunzwa kiswahili kama somo la lazima
-Dini; wahubiri wengi hutumia lugha ya kiswahili kueneza neno kanisani.
-Magazeti; baadhi ya magazeti kama vile Taifa leo huchapishwa kwa lugha ya kiswahili.
-Vituo vya habari; vituo kadhaa vya redio na runinga hupeperusha habari na matangazo kwa lugha ya kiswahili.
Githiari answered the question on June 9, 2018 at 16:19

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions