
i. Hutungwa na kughanwa na mhusika mwenyewe.
ii. Hutungwa kwa usanii mkubwa, anayejigamba hutumia sitiari, ishara, takriri na tashbihi.
iii. Anayejigamba hujitumia kivugo kufuatia tukio mahususi katika maisha yake, anaweza kuongea kuhusu siku za jandoni, ndoa au kuoa, kutoka vitani, michezo, kesi au jambo kali.
iv. Kwa kawaida hutungwa na kughanwa na wanawake.
v. Huwa na matumizi ya chuku kwa kiasi kikubwa, anayejigamba hujisifu kupita kiasi kwa kutaja mafanikio au mchango wake. Anaweza kuahidi kuleta mafanikio makubwa kuliko yale tayari ameletea jamii.
vi. Hutolewa kwa nafsi ya kwanza maadam anayejigamba ni mshairi mwenyewe.
vii. Anyejigamba huweza kubeba baadhi ya vifaa vyake vya kazi au vinavyoonyesha jambo analojisifia. Aidha anaweza kuvaa maleba yanayooana na kazi au jambo ambalo anajisifia
viii. Kwa kawaida, hutungwa papo hapo hata hiyo mengine huandikwa ili kughanwa baadaye katika hafla fulani k.v arusi.
ix. Anayejisifu hutaja usuli wake wa kinasaba, katika baadhi ya jamii anayejigamba huhitajika kutaja na kusifu nasaba au ukoo wake, upande wa baba na mama kwa majina yake halisi.
x. Wanaojigamba nao huwa walumbi au washauri wanaofahamu wanalolitunga.
xi. Maudhui makuu ni ushujaa
kalvinspartan answered the question on July 30, 2018 at 16:05
-
Eleza mbinu ya kinaya katika tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Eleza mbinu ya kinaya katika tamthilia ya Kigogo
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili kauli hii kuwa lugha ya kiswahili ni lugha ya kiarabu
(Solved)
Jadili kauli hii kuwa lugha ya kiswahili ni lugha ya kiarabu
Date posted:
July 29, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya usemi halisi na usemi taarifa
(Solved)
Eleza maana ya usemi halisi na usemi taarifa
Date posted:
July 29, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza sifa tano za lugha ya taifa
(Solved)
Eleza sifa tano za lugha ya taifa
Date posted:
July 29, 2018
.
Answers (1)
-
Mtafiti huenda akapatwa na changamoto nyanjani, fafanua.
(Solved)
Mtafiti huenda akapatwa na changamoto nyanjani, fafanua.
Date posted:
July 25, 2018
.
Answers (1)
-
Linganisha fasihi simulizi na fasihi andishi
(Solved)
Linganisha fasihi simulizi na fasihi andishi
Date posted:
July 25, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza sifa tano za kimsingi zinazotambulisha sajili ya siasa
(Solved)
Eleza sifa tano za kimsingi zinazotambulisha sajili ya siasa.
Date posted:
July 25, 2018
.
Answers (1)
-
Maudhui ya usaliti katika kigogo yanapatikanaje?
(Solved)
Maudhui ya usaliti katika kigogo yanapatikanaje?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya majigambo/vivugo
(Solved)
Eleza maana ya majigambo/vivugo.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya maghani simulizi
(Solved)
Eleza maana ya maghani simulizi
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya rara huku ukitoa sifa zake tano
(Solved)
Eleza maana ya rara huku ukitoa sifa zake tano.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Maghani yana umuhimu gani katika jamii?
(Solved)
Maghani yana umuhimu gani katika jamii?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa tano za maghani
(Solved)
taja sifa tano za maghani.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya maghani
(Solved)
Eleza maana ya maghani.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Nyimbo za vita huimbwa na nani?
(Solved)
Nyimbo za vita huimbwa na nani?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Nyimbo za usasi ni nyimbo zipi?
(Solved)
Nyimbo za usasi ni nyimbo zipi?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili maana ya jadiya/jadiia
(Solved)
Jadili maana ya jadiya/jadiia.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Nyimbo za chekechea zina sifa zipi?
(Solved)
Nyimbo za chekechea zina sifa zipi?
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili nyimbo za mapenzi huku ukitoa sifa zake
(Solved)
Jadili nyimbo za mapenzi huku ukitoa sifa zake.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa kabambe za hodiya
(Solved)
Taja sifa kabambe za hodiya.
Date posted:
July 24, 2018
.
Answers (1)