Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi

Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi

Answers


KELVIN
a) Hojaji huwa na maswali yanayojibiwa na kikundi lengwa mtafiti anaweza kulenga watambaji ngano au walumbi
b) Huweza kutumiwa moja kwa moja na mkusanyaji kwa anyehojiwa hivyo mtafiti humwelekeza mhojiwa namna ya kujibu.
c) Hojji huweza kutumwa kwa mhojiwa bila kuwepo kwa mtafiti. Mhojiwa husoma na kujaza hojaji bila mwongozo wa mtafiti (aina hii ndiyo iliyozoeleka zaidi )

kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 12:49

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions