Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi

Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi.

Answers


KELVIN
a) Huwa na gharama ya chini zaidi.
b) Mtafiti huweza kusikia iidadi kubwa ya watoaji habarikwa kipindi kifupi kwani huweza kutumiwa kwa posta.
c) Huweza kutumika katika mahojiano kama mwongozo.
d) Humpa mhojiwa muda wa kuwaza na kuchunguza.
e) Kwa kawaida , hojaji hazina athari za mtafiti kwani aghalabu mtafiti hayupo zinapojazwa .Huweza kubadilishwa kulingana na kiwango cha wajazaji au wahojiwa.

kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 12:50

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions