Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Kwa kutoa mifano, onyesha matumizi ya nidaha katika hadithi ya mke wangu

      

Kwa kutoa mifano, onyesha matumizi ya nidaha katika hadithi ya mke wangu.

  

Answers


KELVIN
? Ngnhngnh!-msimulizi akidharau Fedhele.
? Barabara! Si watu kama vile ninyi?-Aziza kuudhika kwa msimulizi kudharau uchomaji na uuzaji mihogo kama kazi.
? Lo! Mimi nikachome mihogo niuze?-msimulizi kushangaa kwa kupendekezewa na mkewe ajiajiri kazi kama ya uchomaji mihogo.

kalvinspartan answered the question on August 15, 2018 at 12:21


Next: Ubaguzi unajitokeza vipi katika hadithi fupi ya mke wangu?
Previous: Onyesha jinsi mwandishi alivyotumia mbinu ya taharuki katika hadithi fupi ya Mke wangu

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions