Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Onyesha matumizi ya mbinu rejeshi katika hadithi fupi ya mke wangu

      

Onyesha matumizi ya mbinu rejeshi katika hadithi fupi ya mke wangu.

  

Answers


KELVIN
? Msimulizi kuwaza jinsi alivyomkuta Fedhele Salim Saateni saa mbili usiku kavaa kanzu mpaka mapajani, kafuatana na shoga yake na wanamtia kijana mwanamume katikati yao.
? Anatufahamisha kuna siku wakati wa alasiri Seluwa alienda kuwatembelea yeye msimulizi na mkewe.

kalvinspartan answered the question on August 15, 2018 at 12:23


Next: Onyesha jinsi mwandishi alivyotumia mbinu ya taharuki katika hadithi fupi ya Mke wangu
Previous: Kwa kutolea mifano, onyesha matumizi ya tashbihi na takririr katika hadithi ya mke wangu

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions