Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Lakini waliogopa...waliogopa hata kuwa na uoga.”(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.

Lakini waliogopa...waliogopa hata kuwa na uoga.”
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.

Answers


samuel
(i) Haya ni maneno ya mwandishi/msimulizi.

(ii). Yanawarejelea raia wa Sokomoko.

(iii) Wanaugulika kwa dhuluma za Mtemi mara tu baada ya kurithi mamlaka kutoka kwa Mzungu.
(iv) Wanalalamika kwa minong'ono kwa vile Wanaogopa adhabu ya Mtemi
lemass answered the question on February 1, 2019 at 09:57

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions