Upangaji lugha ni mikakati ya kuiratibu lugha ili kuleta uwiano na maelewana katika kiwango cha kitaifa.
Sababu za kupanga lugha
1.kuidhinisha lahaja mojawapo ya lugha kama lugha kuu
2.kueleza matumizi sahihi za lugha
3.kurahihisha istilahi za lugha
4.kubuni istilahi mpya za lugha .ilikukidhi mahitaji take ya mawasiliano.
5.kufufua lugha za kale na ambazo zinafifia.
SAW answered the question on May 14, 2019 at 12:55
-
Eleza dhima mbili ya kiimbo
(Solved)
Dhima ya kiimbo
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Mambo yepi yanayoweza kusababisha kufa kwa lugha?
(Solved)
Mambo yepi yanayoweza kusababisha kufa kwa lugha?
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Taja na ueleze dhima tano ambazo sajili za lugha hutekeleza
(Solved)
Dhima ambazo sajili za lugha hutekeleza
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia nomino yoyote katika ngeli ya I-I kutunga sentensi.
(Solved)
Tumia nomino yoyote katika ngeli ya I-I kutunga sentensi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga neno lenye muundo huu wa silabi:
Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu
(Solved)
Tunga neno lenye muundo huu wa silabi:
Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi hii upya kwa kufuata maagizo: Wasichana wanaingia darasani kwa haraka (andika kinume chake)
(Solved)
Tunga sentensi hii upya kwa kufuata maagizo: Wasichana wanaingia darasani kwa haraka (andika kinume chake)
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua kiambishi awali na tamati kati neno: Alalaye
(Solved)
Tambua kiambishi awali na tamati kati neno: Alalaye
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi.
(Solved)
Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii)
(Solved)
Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii)
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi
"ona" kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto".
(Solved)
Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi
"ona" kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto".
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara.
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula.
(Solved)
Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara.
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi: Tuiiitwa na baba.
Mtendaji ni baba
(Solved)
Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi: Tuiiitwa na baba.
Mtendaji ni baba
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji-.
(Solved)
Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji-.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi hii upya kwa kutumia visawe vya maneno yaliopigwa
mstari. Kiambaza kilimuumiza ghulamu alipokuwa akipanda.
(Solved)
Tunga sentensi hii upya kwa kutumia visawe vya maneno yaliopigwa
mstari. Kiambaza kilimuumiza ghulamu alipokuwa akipanda.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kitenzi "Fa" katika sentensi kuonyesha mazoea.
(Solved)
Tumia kitenzi "Fa" katika sentensi kuonyesha mazoea.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha vihusishi katika sentensi ifuatayo:
Babu alifika mapema kuliko wote halafu akaondoka.
(Solved)
Ainisha vihusishi katika sentensi ifuatayo:
Babu alifika mapema kuliko wote halafu akaondoka.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kitenzi "tafakaru" kama nomino katika sentensi.
(Solved)
Tumia kitenzi "tafakaru" kama nomino katika sentensi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya nahau hizi?
(Solved)
Eleza maana ya nahau hizi?
Date posted:
April 23, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili ufaafu wa jalada la tamthilia ya Kigogo
(Solved)
Jadili ufaafu wa jalada la tamthilia ya Kigogo.
Date posted:
April 22, 2019
.
Answers (1)
-
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine. Adui ya mwanamke ni mwanamke. Eleza kauli hii ukirejelea hadithi ya ngome ya nafsi na uteuzi wa moyoni
(Solved)
Mayai waziri wa maradhi na hadithi nyingine.
Adui ya mwanamke ni mwanamke. Eleza kauli hii ukirejelea hadithi ya ngome ya nafsi na uteuzi wa moyoni
Date posted:
April 19, 2019
.
Answers (1)