i) Mikono yao imegusana au kukutana lakini inaweza kutengana kwa
urahisi/ushirika wa kaeaida/kusalimiana.
ii) Mikono yao imekwama na vigugu kutengana/imeganda.
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 07:08
-
Andika kwa udogo ;ndege mkubwa alitua dirishani
(Solved)
Andika kwa udogo ;ndege mkubwa alitua dirishani.
Date posted:
June 15, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya kiimbo na onyesha dhima yake
(Solved)
Eleza maana ya kiimbo na onyesha dhima yake.
Date posted:
June 9, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya upangaji lugha na ufafanue sababu ya shughuli hiyo
(Solved)
Eleza maana ya upangaji lugha na ufafanue sababu ya shughuli hiyo
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza dhima mbili ya kiimbo
(Solved)
Dhima ya kiimbo
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Mambo yepi yanayoweza kusababisha kufa kwa lugha?
(Solved)
Mambo yepi yanayoweza kusababisha kufa kwa lugha?
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Taja na ueleze dhima tano ambazo sajili za lugha hutekeleza
(Solved)
Dhima ambazo sajili za lugha hutekeleza
Date posted:
May 14, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia nomino yoyote katika ngeli ya I-I kutunga sentensi.
(Solved)
Tumia nomino yoyote katika ngeli ya I-I kutunga sentensi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga neno lenye muundo huu wa silabi:
Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu
(Solved)
Tunga neno lenye muundo huu wa silabi:
Irabu + konsonanti + konsonanti + irabu
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi hii upya kwa kufuata maagizo: Wasichana wanaingia darasani kwa haraka (andika kinume chake)
(Solved)
Tunga sentensi hii upya kwa kufuata maagizo: Wasichana wanaingia darasani kwa haraka (andika kinume chake)
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua kiambishi awali na tamati kati neno: Alalaye
(Solved)
Tambua kiambishi awali na tamati kati neno: Alalaye
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi.
(Solved)
Ainisha vivumishi katika sentensi hii: mzee mwenyewe ni mkongwe na amepewa zawadi kwa kuwa shamba lake lilitoa mazao mengi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii)
(Solved)
Askari wasipopiga doria wala kushikiana na raia hawatakuwa wametuhakikishia usalama. (yakinisha sentensi hii)
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi
"ona" kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto".
(Solved)
Dhihirisha matumizi matatu tofauti ya kimaana yatakayotokea ketenzi
"ona" kikinyambuliwa katika kirai hiki "ona ndoto".
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara.
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula.
(Solved)
Eleza matumizi ya hali za "ka" na "hu" katika sentensi zifuatazo:
(i) Balozi huja hapa kila mara.
(ii) Mpishi alipika, akapakuwa na akagawa chakula.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi: Tuiiitwa na baba.
Mtendaji ni baba
(Solved)
Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi: Tuiiitwa na baba.
Mtendaji ni baba
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji-.
(Solved)
Eleza matumizi mawili ya kiambishi -ji-.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi hii upya kwa kutumia visawe vya maneno yaliopigwa
mstari. Kiambaza kilimuumiza ghulamu alipokuwa akipanda.
(Solved)
Tunga sentensi hii upya kwa kutumia visawe vya maneno yaliopigwa
mstari. Kiambaza kilimuumiza ghulamu alipokuwa akipanda.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kitenzi "Fa" katika sentensi kuonyesha mazoea.
(Solved)
Tumia kitenzi "Fa" katika sentensi kuonyesha mazoea.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha vihusishi katika sentensi ifuatayo:
Babu alifika mapema kuliko wote halafu akaondoka.
(Solved)
Ainisha vihusishi katika sentensi ifuatayo:
Babu alifika mapema kuliko wote halafu akaondoka.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kitenzi "tafakaru" kama nomino katika sentensi.
(Solved)
Tumia kitenzi "tafakaru" kama nomino katika sentensi.
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)