Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya kutendeka. i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi. ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura...

Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya
kutendeka. (alama 2)
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura zingine hazimo.

Answers


Kavungya
(i) Daraja hili huvukika/ linavukika/ litavukika/ lilivukika tu wakati wa
Kiangazi
(ii) Kitabu hicho kinasomeka / chasomeka/ husomeka/ kitasomeka ijapokuwa
sura zingine hazimo.
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 11:55

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions