(i) Nyuta zao/ zake ni ndefu na kubwa sana
(ii) Merikebu zitakazofika kesho zitang’oa nanga kesho kutwa
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 10:15
-
Taja na ubainishe aina za viwakilishi katika sentensi zifuatazo
(i) Ile minazi yangu niliyopalilia inakua vizuri
(ii) Mimi ninataka kumwona mwanariadha aliyepata nishani ya
dhahabu
(Solved)
Taja na ubainishe aina za viwakilishi katika sentensi zifuatazo
(i) Ile minazi yangu niliyopalilia inakua vizuri
(ii) Mimi ninataka kumwona mwanariadha aliyepata nishani ya
dhahabu
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukionyesha matumizi ya vitenzi vya silabi moja
katika jinsi ya kutendesha ukitumia silabi hizi
(i) -la
(ii) nywa
(iii) fa
(Solved)
Tunga sentensi ukionyesha matumizi ya vitenzi vya silabi moja
katika jinsi ya kutendesha ukitumia silabi hizi
(i) -la
(ii) nywa
(iii) fa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja moja ukitumia alama zifuatazo za uakifishaji
(i) Ritifaa
(ii) Parandesi
(iii) Dukuduku
(iv) Mshangao.
(Solved)
Tunga sentensi moja moja ukitumia alama zifuatazo za uakifishaji
(i) Ritifaa
(ii) Parandesi
(iii) Dukuduku
(iv) Mshangao.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa msemo halisi
Yohana alisema kwamba njiani kulikuwa kumenyesha sana ndio sababu tulichekelewa
(Solved)
Andika kwa msemo halisi
Yohana alisema kwamba njiani kulikuwa kumenyesha sana ndio sababu tulichekelewa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Taja vielezi vinavyopatikana katika sentensi hizi; kisha ueleze ni vielezi vya aina gani
(i) Aliamka alfajiri
(ii) Mtu huyu ni hodari sana
(Solved)
Taja vielezi vinavyopatikana katika sentensi hizi; kisha ueleze ni vielezi vya aina gani
(i) Aliamka alfajiri
(ii) Mtu huyu ni hodari sana
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kamilisha jedwali ukifuatia mfano uliopewa
Wimbo Mwimbaji Uimbaji
Jengo ……………. ……….
Pendo ……………. ……….
(Solved)
Kamilisha jedwali ukifuatia mfano uliopewa
Wimbo Mwimbaji Uimbaji
Jengo ……………. ……….
Pendo ……………. ……….
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti iliyopo katika jozi hii ya sentensi.
Alimpatia soda ya chupa
Alimpatia soda kwa chupa.
(Solved)
Eleza tofauti iliyopo katika jozi hii ya sentensi.
Alimpatia soda ya chupa
Alimpatia soda kwa chupa.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Soma Makala yafuatayo kisha ujibu maswali
Nchi nyingi za ulimwengu unaoendelea, au ule uliokuwa ukiitwa ulimwengu wa ta
zimegawika sehemu mbili mbili. Sehemu hizi zinazidi kutoshabihiana kila...
(Solved)
Soma Makala yafuatayo kisha ujibu maswali
Nchi nyingi za ulimwengu unaoendelea, au ule uliokuwa ukiitwa ulimwengu wa ta
zimegawika sehemu mbili mbili. Sehemu hizi zinazidi kutoshabihiana kila uchao
zinatengana kiasi cha kukaribia kupigwa mfano wa masafa ya ardhi na mbingu. Seher
zenyewe ni mijini na mashabani. Sehemu hizi, hasa ukizitia katika mizani ya hali na jia
za watu za maisha, zimetofautiana mno. Kiasi cha tofauti hizi ni kikubwa hadi
kuonekana kama kwamba hazina uhusiano kamwe, mithili ya nchi mbili tofauti.
Hebu sasa tuzingatie yale yana yozifanya sehemu hizi kukosa kufanana. Hapa
tutawajibika kuzizingatia tofauti zilizo bayana baina ya watu wa shamba na wa mijini,
hasa kufungamana na jinsi wanavyoyaendesha maisha yao.
Jambo lililo wazi ni kwamba watu wa mashambani hawajapiga hatua ya maana kuhusu
jinsi wanavyuotakikana kuishi katika karne ya ishirini. Watu hawa bado wanaishi kama
walivyoishi mababu zao. Hawahisi halahala ya jambo lolote. Mategemeo yao ni shamba;
usubiriwe msimu mzuri wa mvua, watu walime, Mungu akineemeshe kilimo, wavune
mavuno mema, Chakula kikiwa tayari, wale, walale, siku nyingine warudie mkondo uo
huo wa kuendesha maisha yao.
Watu hawa maisha yao yamepangika mikondo mitatu tu: kuzaliwa, kuoa au kuolewa, na
kufa. Zaidi ya mikondo hii, maisha ya viumbe hawa hayana mabadiliko makubwa.
Mabadiliko haypendelewi sana huko mashambani. Huko, wanaume ni mabwana,
wanawake ni mfano wa vijakazi na watoto hawana tofauti kubea na watwana. Mwanume
akikohoa, mkewe akimbilie kulikokoholewa, na watoto watetemeke. Wanawake wa
shamba na watoto hawana haki hata ya kunena, wala hawajui haki ni nini.
Kwa upande mwingine, mijini kuna viwanda, kuna majumba, kuna magari na kuna
vyombo vingi sana vya maendeleo ya kisiku izi. Watu wa mijini ni watu wa ulimwengu
kote, wala si watu wa mji mmoja tu. Watu wa mji wowote ulimwenguni huweza
kuwasiliana na wenzao wa miji mingine kokote kule ulimwenguni kwa njia ya runinga.
Pia, kwa watu wa mjini, kuona kiumbe kidogo kabisa kisichoweza kuonekana kwa
macho si ibura hata. Kiumbe cha namna hiyo huonekana kupitia mangala. Na kwa wale
walioondokea kuwa wanajimu wa kisasa, kuziona sayari na thurea zilizoko mbali sana
nasi kupitia ningala ni jabo la kawaida sana.
Watu wa mjini huwa na mabadiliko mengi sana katika maisha yao, wala sio mikondo
aina tatu tu. Kwa mfano, wanawake wa mijini hawakubali tena kuonewa na wanaume.
Wanajua vyema sana maslahi yao na wameiweka menke yao mbele; yaani mahali pao
katika jamii, wakiwa wao ni wanawake. Kupigania haki sawa na wanaume bila kulegeza
kamba. Huku kupambana kimaisha kama wapambanavyo wanaume na kufanikiwa kufanya kazi za kusikika kam vile uwakili, udaktari, uhandisi, urubani na nyinginezo
zilizokuwa zikifanywa na wanaume tu. Wanawake wengine hata ni maprofesa! Kweli
watu wa mijini wameendelea.
a) Toa maelezo kuhusu tofauti zinazosemekana ni bayana baina ya maisha ya watu
wa shamba nay ale ya watu wa mijini.
b) Rejelea “Mungu” katika aya ya tatu na neon “viumbe” katika aya ya nne.
Bainisha uhusiano uliopo baina ya manen haya mawili, hasa ukizingatia jinsi
yavyotumiwa katika habari. Je matumizi haya yankupa hisia gani?
c) Unadhani mwandishi ana maana gani anaposema ya kwamba huko mashambani
“wanawake ni mfano wa vijakazi, na watoto hawana tofauti kubwa na watwana?”
d) Orodhesha vifaa vyovyote vitano vilivyotajwa katika taarifa hii, kisha ueleze
umuhimu wa kila kimoja wapo.
e) “Watu wa mijini ni watu wa ulimwengu kote” Hapa mwandishi anamaanisha
nini?
f) (i) Ni nini maana ya neon menke?
(ii) Mwandishi anamaliza taarifa yake kwa kusema “Kweli watu wa mijini
wameendelea.” Kwa muhtasari, ni tabia gani za wanamiji zilizomfanya
kukiri hivyo.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kiambishi- U-hutambulisha majina yote ya ngeli ya U (umoja). Hata
hivyo baadhi majina hay huchukua viambishi tofauti tofauti katika wingi.
Orodhesha majina ma kama hayo, kisha uonyeshe...
(Solved)
Kiambishi- U-hutambulisha majina yote ya ngeli ya U (umoja). Hata
hivyo baadhi majina hay huchukua viambishi tofauti tofauti katika wingi.
Orodhesha majina ma kama hayo, kisha uonyeshe viambilshi hivyo tofauti
vya ngeli (Katika umoja na Wingi)
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili za sentensi:
Jua nisemalo ni muhimu kwetu.
(Solved)
Eleza maana mbili za sentensi:
Jua nisemalo ni muhimu kwetu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Akifisha:
Sijaona kitabu kizuri kama hiki utaniazima siku ngapi bashiri alimuliza
sijaona.
(Solved)
Akifisha:
Sijaona kitabu kizuri kama hiki utaniazima siku ngapi bashiri alimuliza
sijaona.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Nyambua vitenzi vifuatavyo ili kupata majina (nomino) mawili mawili
tofauti:
(i) Kumbuka
ii)Cheka
(Solved)
Nyambua vitenzi vifuatavyo ili kupata majina (nomino) mawili mawili
tofauti:
(i) Kumbuka
ii)Cheka
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa umoja
Tumewaondoleeni matatizo yenu, yafaa mtushukuru.
(Solved)
Andika kwa umoja
Tumewaondoleeni matatizo yenu, yafaa mtushukuru.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali
Mwanamke wa kisasa anazaliwa na kukulia katika mazingira yaliyobadilika mno.
Matazamio yake maishani ni tofauti na yale ya wanawake walioishi mapote...
(Solved)
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali
Mwanamke wa kisasa anazaliwa na kukulia katika mazingira yaliyobadilika mno.
Matazamio yake maishani ni tofauti na yale ya wanawake walioishi mapote mawili
yaliyopita; wanawake makamu ya nyanyake na mamaake-kuu.
Yeye hatarajii kuzaliwa, kukua, kuolewa, kuwa mke wa bwana, kumzalia watoto, na
daima dawamu kuwa ‘mwendani wa jikoni’ akawapikia watoto na bwanake chakula; na
akitoka jikoni aelekee shambani kulima, kichakani kuchanja kuni, mtoni kufua nguo na
kuteka maji ya kutumia nyumbani. Mwanamke wa kisasa huandamana na mwanamume.
Akanyangapo mume naye papo huutia wayo wake.
Mwanamke wa kisasa huenda shule na kujifunza yote yafunzwayo huko. Hushindana na
wanawake kwa wanaume na kuibuka mshindi si mara haba. Huibuka mshindi katika
masomo ya lugha, historia, jiografia, hesabu, sayansi na mengineyo, sawa na
mwanamume.
Mwanamke wa kisasa hutaka kufanya kazi za kibega, akazifanya. Akataka kuwa
mwalimu, akawa. Akataka kuwa daktari, akafanikiwa. Almuradi, siku hizi mwanamke
hufanya kazi yoyote ile afanyayo mwanamume. Kuna wanawake marubani wa ndege,
masonara, waashi, wahandishi, madereva wa magari, mawakili, mahakimu, mawaziri
wakuu na hata marais wa nchi. Hakuna kazi isiyofanywa na mwanamke siku hizi.
Mwanamke wa kisasa hateswi akafyata ulimi. Anapohiniwa yeye hupigania haki yake
kwa dhati na hamasa. Katu hakubali ‘mahali pake’ katika jamii alipotengewa na
wanaume wenye mawazo ya kihafidhina yaliyopitwa na wakati.
Siku hizi mwanamke huolewa tu wakati amepata kazi ya kumwezesha kujikimu maishani
au pale anapokuwa na hakika kwamba biashara yake, iwapo ni mfanyi biashara, imepiga
hatua ya kutomrudisha ukutani.
Mwanamke wa kisasa haamuliwi katika jambo lolote, bali hufanya maamuzi yake
mwenyewe. Kwa upande mwingine, mwanamume wa ‘kisasa’, ambaye bado amefungwa
pingu na taasubi za kiume, hapendezwi na mwanamke huyu. Huuma kidole akatamani ya
kale, lakini wapi! Analazimika kumkubali mwanamke huyu kama mshirika sawa
maishani, na kuishi naye, apende asipende. Shingo upande analazimika kukubali kwamba
mabadiliko haya sio mithili ya kiwingu kipitacho, bali ni ya aushi.
a) Msemo ‘mwendani wa vijungu jiko’ unadhihirisha hali gani ya
mwanamke katika jamii?
b) Jamii imemfanya mwanamke kuwa hayawani wa mizigo. Fafanua
c) Eleza maana ya ‘akanyagapo mume papo huutia wayo wake.’
d) Zungumzia maswala ya ndoa na elimu huku ukilinganisha mwanamke wa
kiasili na wa kisasa.
e) Mwanamume wa kisasa anamwonaje mwanamke wa kisasa?
f) Taja mifano minne ya ‘mawazo ya kihafidhina.
g) Eleza maana ya:
(i) Akafyata ulimu……………………………………………
(ii) Ukatani…………………………………………………….
(iii) Taasubi za kiume………………………………………….
(iv) Aushi…………………….………………………………..
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia kirejeshi ( kihusiano) cha ngeli cha mwisho
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia
anayetii wakuu wake
(Solved)
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia kirejeshi ( kihusiano) cha ngeli cha mwisho
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia
anayetii wakuu wake
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia semi hizi katika sentensi kuonyesha maana:
(i) Kuchokoachokoa maneno
(ii) Kumeza shubiri
(Solved)
Tumia semi hizi katika sentensi kuonyesha maana:
(i) Kuchokoachokoa maneno
(ii) Kumeza shubiri
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunatumia viashiria vya kuthibitisha kwa mfano kitabu kiki hiki. Sasa kamilisha
Ni mbwa …………………….. aliyekula chakula cha mtoto
(Solved)
Tunatumia viashiria vya kuthibitisha kwa mfano kitabu kiki hiki. Sasa kamilisha
Ni mbwa …………………….. aliyekula chakula cha mtoto
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti mbili muhimu za kimaumbile kati ya wanyama
(i) Kifaru
(ii) Nyati
(Solved)
Eleza tofauti mbili muhimu za kimaumbile kati ya wanyama
(i) Kifaru
(ii) Nyati
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Watu wafuatao wanafanya kazi gani
(i) Mhasibu
(ii) Mhazili
(Solved)
Watu wafuatao wanafanya kazi gani
(i) Mhasibu
(ii) Mhazili
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia viunganishi vingine badala ya vile vilivyotumiwa katika sentensi hizi:
(i) Anayetafuta hachoki hata akichoka keshapata
(ii) Ngonjeeni hadi washiriki wote wafike
(Solved)
Tumia viunganishi vingine badala ya vile vilivyotumiwa katika sentensi hizi:
(i) Anayetafuta hachoki hata akichoka keshapata
(ii) Ngonjeeni hadi washiriki wote wafike
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)