(i) Reja
(ii) Toa athibu, kaaya
(iii) Toa malipo ya pesa kwa ajili ya kila alichopokea
(iv) Kufupika kwa nguo
Kavungya answered the question on June 27, 2019 at 12:02
-
Tumia misemo ifuatayo katika sentensi;
i) Enda nguu
ii) Chemsha roho
(Solved)
Tumia misemo ifuatayo katika sentensi;
i) Enda nguu
ii) Chemsha roho
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga Sentensi zitakazobainisha maana ya jozi za maneno
zifuatazo:
i) Mbari
Mbali
ii) Kaakaa
Gaagaa
(Solved)
Tunga Sentensi zitakazobainisha maana ya jozi za maneno
zifuatazo:
i) Mbari
Mbali
ii) Kaakaa
Gaagaa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukionyesha matumizi ya
i) –enye
ii)-enyewe
(Solved)
Tunga sentensi ukionyesha matumizi ya
i) –enye
ii)-enyewe
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya
kutendeka.
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura...
(Solved)
Ukizingatia nenolililo katika mabano, andika sentensi hizi atika hali ya
kutendeka. (alama 2)
i) Daraja hili (vuka) tu wakati wa kiangazi.
ii) Kitabu hicho (soma) ijapokuwa sura zingine sura zingine hazimo.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
(Solved)
Yapange majina yafuatayo katika ngeli zake
i) Neno
ii) Kiongozi
iii) Mate
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi hizi upya ukitumia o-ote.
i) Chakula kikibaki hutupiliwa mbali
ii) Kila nyumba unayoingia unapata watoto wawili
(Solved)
Andika sentensi hizi upya ukitumia o-ote.
i) Chakula kikibaki hutupiliwa mbali
ii) Kila nyumba unayoingia unapata watoto wawili
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Sahihisha sentensi zifuatazo
i) Kile kitabu kilipasuka ni changu
ii) Matofali haya yanatumiwa kwa ujenzi wa nyumba
(Solved)
Sahihisha sentensi zifuatazo
i) Kile kitabu kilipasuka ni changu
ii) Matofali haya yanatumiwa kwa ujenzi wa nyumba
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
(Solved)
Andika sentensi hizi kwa umoja
i) Mafuta haya yanachuruzika sana
ii) Miinuko ile ndiyo mwanzo wa milima ya Chungu.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Akifisha sentensi hii:
Watu wengi wamezoea kusema ajali bwana basi yakaishia hapo lakini
kufanya hivyo ni sawa.
(Solved)
Akifisha sentensi hii:
Watu wengi wamezoea kusema ajali bwana basi yakaishia hapo lakini
kufanya hivyo ni sawa.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Tambulisha viwakilishi katika sentensi zifuatazo, halafu uzigeuze sentensi
hizo kwa wingi.
(i) Nilisoma kitabu chake
(ii) Umekuwa mwadilifu kupindukia
(iii) Alishinda nishani ya dhahabu
(Solved)
Tambulisha viwakilishi katika sentensi zifuatazo, halafu uzigeuze sentensi
hizo kwa wingi.
(i) Nilisoma kitabu chake
(ii) Umekuwa mwadilifu kupindukia
(iii) Alishinda nishani ya dhahabu
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi matatu ya KI na utunge sentensi moja kwa kila mojawapo.
(Solved)
Eleza matumizi matatu ya KI na utunge sentensi moja kwa kila mojawapo.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Samaki anayejirusha kutoka majini huitwa?
(Solved)
Samaki anayejirusha kutoka majini huitwa?
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Anayefundisha mwari mambo ya nyumbani huitwa?
(Solved)
Anayefundisha mwari mambo ya nyumbani huitwa?
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
(Solved)
Andika kinyume cha
i) Shari
ii) Oa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
(Solved)
Kwa kila jozi ya maneno uliyopewa tunga sentensi mbili kutofautisha
maana:
(i) Ini-
Hini
(ii) Tairi-
Tahiri
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
(Solved)
Andika visawe ( maneno yenye maana sawa) vya maneno haya:
(i) Sarafu
(ii) Keleji.
(iii) Daktari.
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
(Solved)
Eleza katika sentensi maana ya misemo ifuatayo
(i) Uso wa chuma
(ii) Kuramba kisogo
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii
Wenzake wamelipwa pesa zao, yeye bado amelala
(Solved)
Eleza maana mbili tofauti za sentensi hii
Wenzake wamelipwa pesa zao, yeye bado amelala
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
(Solved)
Andika sentensi za mseto kutokana na mbili fupi ulizopewa
a) Mwanafunzi amesoma kwa bidii. Mwanafunzi anataka
kupita mtihani
b) Leo nimerudi nyumbani. Sipendelei kuishi hapa
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejea ngeli za mahali, andika sentensi tatu ukionyesha matumizi ya kila moja
(Solved)
Kwa kurejea ngeli za mahali, andika sentensi tatu ukionyesha matumizi ya kila moja
Date posted:
June 27, 2019
.
Answers (1)