Trusted since 2008
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Ask, answer and revise exam-style questions across Kenyan subjects and professional courses.

Q&A Categories

Exams With Marking Schemes

20753 Questions    View: All Solved Unsolved

Search Results...
  • Bainisha mofimu katika neno hili; Alinizindusha

    Date posted: October 4, 2019
  • Taja ngeli za nomino zifuatazo; i) Muundo ii) Senti.

    Date posted: October 4, 2019
  • Tumia neno kitoto kama; i) kivumishi ii) kielezi

    Date posted: October 4, 2019
  • Taja na ueleze pingamizi zozote tano zinazokwamiza juhudi za kukuza Kiswahili

    Date posted: October 4, 2019
  • Changanua sentensi hii kwa kutumia kielelezo cha visanduku. Mzee aliyemdhulumu msichana yule ametiwa mbaroni tena.

    Date posted: October 4, 2019
  • Eleza juhudi zozote tano za serikali ya Kenya katika kukuza Kiswahili

    Date posted: October 4, 2019
  • Tunga sentensi sahihi ukitumia kitenzi — nywa katika kauli ya kutendesha

    Date posted: October 4, 2019
  • Yakinisha sentensi hii Mpishi asipokuwa mwangalifu chakula hakitaiva vizuri

    Date posted: October 4, 2019
  • Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali Uchumi wa soko huria ni hali ya kiuchumi ambapo itokeapo amali, shughuli na harakati zote za kiuchumi ghairi ya zile ambazo ni za lazima kwa serikali au dola kama ulinzi, sheria na mpangilio wa jamii huwa huria kwa watu binafsi. Msingi wa soko huria, sifa kuu ya utandawazi, ni kuibua na kudumisha mazingira na hali zinazochochea na kumruhusu mtu yeyote kuongozwa na hawaa, au matamanio ya kibiashara anayoyaona sawa pasi na hofu ya kuingilia na udhibiti wa serikali. Mazingira hayo yanawapa watu satua ya kufanya maamuzi kuhusu hatima yao ya kiuchumi, uamuzi kuhusu suala la ajira yao, matumizi ya mtaji kipato na harija zake, na uwekezaji mzima. Suala mojawapo linaloibuka kuhusiana na mfano wa soko huria ni kuweka mipaka bainifu na wazi baina ya amali na shughuli zinazohusishwa na serikali na zile ambazo huachwa huria kwa watu. Kwa mfano, inaaminiwa kuwa haki ya kuishi na kulindwa dhidi ya shambulizi, liwe la kijambazi au la kigaidi, ni ya kimsingi ambayo haiwezi kuhusishwa na uwezo wa kiuchumi wa mtu binafsi. Aidha huduma za kimsingi za afya nazo zinaingia katika kumbo hili. Ikiwa huduma hizi zitaachwa huria pana uwezekano mkubwa kuwa zitaishia kuwa istihaki ya wenye mtaji na kipato cha juu tu. Licha ya kuwepo kwa sheria au kanuni huria kutoka nyanja maalum, hutokea hali ambapo adhibiti wa kiserikali ni lazima. Hii hutokea pale ambapo ipo haja ya kuyalinda mazingira hasa kutokana na uchafuzi wa viwanda au tasnia. Aidha udhibiti huo ni lazima pale ambapo haki za watu wengine zinahusika: yaani ikiwa uhuru wa hata mtu mmoja unaadhirika kutokana na sera hizo pana haja ya kuingilia ili kuisawazisha hali yenyewe. (a) Andika kwa muhtasari maana ya uchumi wa soko huria kulingana na taarifa hii. (maneno 25-30) (b) Eleza mawazo makuu yanayojitokeza katika aya ya pili na ya tatu. (maneno 70-75)

    Date posted: October 4, 2019
  • Toa maana ya semi Shupaa mwili.

    Date posted: October 4, 2019
  • Taja dhamira ya sentensi ifuatayo Kimbia mbio ulete sahani

    Date posted: October 4, 2019
  • Akifisha sentensi ifuatayo iii ilete dhana tatu tofauti; Fatuma Khamisi mjukuu wa Rashid na Rehema wametoroka shule

    Date posted: October 4, 2019
  • Tunga sentensi yenye muundo ufuatao KN(N+S)+KT(T+E+E)

    Date posted: October 4, 2019
  • Iandike sentensi ifuatayo upya katika hali yakinishi. Hapo napo sipo nitakapo.

    Date posted: October 4, 2019
  • Tumia maneno yafuatayo katika sentensi moja ili kubainisha tofauti zao kimaana; i) Chuuza ii) Chuza

    Date posted: October 4, 2019
  • Eleza tofauti kati ya ama za vielezi vifuatavyo; i) Vielezi vya namna mfanano na; Vielezi vya namna hali. ii) Tunga sentensi mbili tofauti ukitumia vielezi vya hapo juu.

    Date posted: October 4, 2019
  • Andika sentensi moja ukitumia kivumishi cha nomino.

    Date posted: October 4, 2019
  • The diagram below represents a mammalian nephron. neu13481042019.png (i) Name the structure labelled Q (ii) State two adaptations of part labeled R

    Date posted: October 4, 2019
  • The apparatus below was used to investigate anaerobic respiration:- oil13311042019.png a) How would you remove dissolved oxygen from the glucose before the experiment commencing? (b) State what happens to the lime water as the experiment proceeds to the end (c) Describe the reactions in the experiment (d) Explain what would happen if the temperature of glucose solution and yeast was raised beyond 45 degrees C?

    Date posted: October 4, 2019
  • How does the sunkness of stomata help in minimizing the rate of transpiration in plants?

    Date posted: October 4, 2019
  • Jadili sababu tano zinazofanya "sheng" isiwe lugha ya taifa.

    Date posted: October 4, 2019
  • The apparatus below was set up by a student to find out the changes in gases during germination. germination13191042019.png a) After 48 hours the level of water in the U-tube at A and B was as shown. Explain the observation b) Calculate the respiration quotient (RQ) from the equation below rq13211042019.png c) Identify the substrate being respired in the above equation

    Date posted: October 4, 2019
  • Eleza maana ya; i).Mkembe. ii).mkebe.

    Date posted: October 4, 2019
  • Soma taarifa kisha fupisha kwa mujibu wa maswali yafuatayo. Uwezo wa kuyakumbuka mambo ni hazina kuu kutoka kwa mtu yeyote yule aliye hai. Uwezo huu wa kukumbuka ni mojawapo ya shughuli changamano za ubongo. Ubongo wa mwanadamu hutekeleza shughuli hii kwa namna tatu. Kwanza ubongo hunasa jambo kisha huliihifadhi. Baadaye huanzisha mfumo wa kutoa kilicho hifadhiwa. Ubongo ukiathirika kwa namna yeyote katika moja wapo ya njia hizi, basi uwezo wa kuyakumbuka mambo huvurugika. Ingawa inaaminika kuwa uwezo wa kukumbuka hurithishwa toka kizazi kimoja hadi kingine, wataalamu wa maswala ya kiakili wanabaini kuwa uwezo huu unaweza kuimarishwa. Uimarishaji huu huhitajika mikakati madhubuti. Njia mojawapo ya kustawisha uwezo wa kukumbuka ni kupitia kwa lishe. Vyakula vilivyosheheni vitamini B vyenye amino asidi husaidia kuimarisha uwezo wa kukumbuka. Vyakula kama hivi ni mboga, nyama (hasa maini), bidhaaa za soya, matunda, maziwa, ,bidhaa za ngano, samaki, pamoja na mayai. Vyakula vingine muhimu katika ustawishaji huu ni vile vyenye madini ya chuma. Madini haya huwezesha usambazaji wa hewa katika ubongo kwa wepesi. Vyakula ambavyo vina madina haya ni mboga za kijani, mawele, ndengu, soya, matunda kama maembe, ufuta (simsim) pamoja na nyama, hasa maini na mayai. Ubongo wa mwanadamu aliye hai hufanya kazi kila wakati awe macho au amelala. Utendaji kazi wake huendeshwa na glukosi mwilini. Kwa hivyo, vyakula vyenye sukari hii ni muhimu kuliwa. Hata hivyo, lazima mtu awe mwangalifu na kuhakikisha kuwa mwili una kiwango cha sukari kisicho hatarisha maisha. Haya yanawezekana kwa kula vyakula vyenye nyuzinyuzi kama vile mboga na matunda. Njia ya pili ni kupiga marufuku vileo kama pombe na nikotini. Vileo hivi huathiri utaratibu wa kunasa, kuhifadhi na kutoa yaliyo ubongoni. Iwapo mtu ana tatizo la kuyakumbuka majina ya watu, ni muhimu kufanya mazoezi ya kusikiliza kisha kurudia majina hayo wakati wa mazungumzo. Ni bora kulihusisha jina na sura ya mtu. Kwa njia hii ubongo utanasa jina na kile kinacholengwa. Woga na kuvurugika kiakili ni mambo mengine tunayopaswa kuepuka kila wakati. Ni kawaida mtu kupata woga wakati anapokabili jambo asilokuwa na uhakika na matokeo yake kama mtihani au mahojiano. Lakini anapaswa kuwa makini. Woga huo usikiuke mpaka na kumvuruga kiakili. Vurugu hizi huathiri kilichohifadhiwa ubongoni na pia namna ya kukitoa. Halikadhalika, mwili wenye siha nzuri huhakikisha kuwa ubongo ni timamu. Wataalamu wengi wa siha wanakubali kuwa na mazoezi ya kunyoosha viungo hustawisha ubongo na hivyo kuhakikisha kuweko kwa uwezo wa kukumbuka mambo. Ni muhimu kuwa na taratibu ya kunyoosha viungo kila wakati. Fauka ya hayo, mazoezi ya kiakili, kama vile kusoma makala yanayovutia, kujaza mraba na michezo mingine kama mafumbo, vitenzi ndimi ni muhimu katika kustawisha uwezo wa kukumbuka. Jamii ya watu wenye uwezo kuyakumbuka mambo ni ya jamii iliyopiga hatua kimaendeleo. Ni jukumu la kila mmoja wetu kuimarisha uwezo wa kukumbuka kila wakati. a) Kwa maneno 60 – 65 fupisha mchango wa chakula katika uimarishaji wa uwezo wa kukumbuka. b) Fupisha aya tatu za mwisho kwa maneno 80 – 90

    Date posted: October 4, 2019
  • With a reason, state a phase in respiration that yields more energy.

    Date posted: October 4, 2019
  • Toa maneno yenye maana sawa na haya. i. Izara ii. Anisi

    Date posted: October 4, 2019
  • In an experiment to investigate a certain processes in a given plant species, the rate of carbon (IV) oxide consumed and released were measured over a period of time of the day. The results of the investigation are shown in the table below. comp10101042019.png a) Name the biochemical processes represented by; (i) Carbon (IV) oxide consumption (ii) carbon (IV)oxide release (b) Account for the shape of the curve for carbon (IV) oxide consumption between; (i) 6-16 hours (ii) 20-24 hours (c) Account for carbon (IV) oxide released between 12-16 hours (d) (i) What is compensation point? (ii) From the graph state the time of the day when the plant attains compensation point (e) Explain how high temperature above optimum affects the rate of carbon (IV) oxide consumption in the plant.

    Date posted: October 4, 2019
  • Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya matawi. Atanishughulikia vizuri.

    Date posted: October 4, 2019
  • The diagram below represents a section of the human respiratory system. lungs12541042019.png (a) One can inhale through path A, or B. Giving reasons, state the more appropriate path. (b) How is the part labbelled C adapted for its function? (c) Explain the effect of regular tobacco smoking to the functioning on the organ labelled D

    Date posted: October 4, 2019
  • An athlete training to take part in an international competition moved to a high attitude area where he was to train for twelve days before the competition. He took his pulses per minute daily and tabulated them as shown below:- a) Other than pulse rate, name one other process which was affected by change of altitude b) Account for the change in pulse rate from:- i) Day 1 to day 7 ii) Day 8 to day 12 c) Explain the advantage this athlete has over the one who trains in a lower altitude area d) The equation below represents a reaction which takes place during rapid muscular movements in humans. lactic12481042019.png i) State two effects of this reaction to an individual ii) How is lactic acid finally eliminated from the muscle tissues of the human after the muscle

    Date posted: October 4, 2019