-
Bainisha aina za vishazi katika sentensi hii
Watoto walioachwa mayatima wamesaidiwa
Date posted:
October 3, 2019
-
Ainisha viambishi na mzizi katika kitenzi
Hawakunichokoza
Date posted:
October 3, 2019
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya jedwali.
Sisi tulipokuwa shuleni tulisoma kwa bidii.
Date posted:
October 3, 2019
-
Eleza tofauti ya kisarufi ya maneno yaliyopigiwa mstari.
i)Hiki ni kitabu cha mwalimu
ii)Hiki ni cha mwalimu
Date posted:
October 3, 2019
-
Andika sifa mbili mbili bainifu za sauti.
i)/e/
ii)/n/
Date posted:
October 3, 2019
-
UFAHAMU
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.
Mojawapo kati ya misingi na nguzo za maendeleo uliwenguni ni viwanda. Viwanda ni muhimu kwa kuwa ndivyo vinavyoigeuza malighafi inayopatikana na kuwa bidhaa zinazoweza kutumiwa na watu. Katika nchi zinazoendelea, ambazo hazina uwezo mkubwa wa mitaji viwanda vinavyoimarika ni vile vidogo. Hivi ni viwanda ambavyo huhusisha amali za mikono. Kuimarika kwa viwanda hivi vidogo kunatokana na sababu mbalimbali.
Nchi zinazoendelea huwa na masoko finyu sana kwa kuzingatia uwezo wa ununuzi wa wanaolengwa na bidhaa za viwanda . Katika msingi huu viwanda vikubwa vitawiwa ugumu kufanya biashara katika mazingira ambako masoko yake ni finyu au utashi wa bidhaa zake sio mkubwa. Viwanda vidogo pia vinao uwezo wa kuwaajiri wafanyikazi wengi hasa kwa kuwa havina uwezo wa kugharamia mashine. Uajiri huu wa wafanyikazi wengi ni muhimu katika maeneo mengi ambako tatizo la ajira ni mojawapo wa matatizo sugu. Tofauti na mataifa ya kitasmia (yenye viwanda vingi) mataifa mengi yanayoendelea hayana mifumo imara ya kuwakimu watu wasiokuwa na kazi. Utegemezi wa jamaa wanaofanya kazi kwa hivyo unakuwa nyenzo ya pekee ya kuyamudu maisha.
Kuanzisha viwanda vidogo vidogo hakuhitaji mtaji mkubwa tofauti na viwanda vikubwa. Hali hii inasahilisha uwezekano wa watu wengi kujasurisha shughuli yoyote ile. Sambamba na suala hili ni kuwa ni rahisi kujarisha bidhaa mpya kwa kiwango kidogo cha kiwanda kidogo. Ikiwa mzalishaji yeyote atazalisha bidhaa mpya kwa mapanu, kwa mfano kama ilivyo kwa viwanda vikubwa, pana uwezekano wa kupata hasara kubwa. Huenda utashi wa bidhaa hiyo uwe mdogo ukilinganishwa na ugavi wa bidhaa yenyewe. Majaribio mazuri huwa ni kwa kiwango kidogo.
Kuwepo kwa viwanda vidogo huwa chocheo kubwa la usambazaji wa viwanda hadi maeneo ya mashambani. Hali hii inahakikisha kuwa nafasi za ajira zimezambazwa nchini hali ambayo inasaidia kuhakikisha kuwa pana mweneo mzuri wa kimapato nchini. Mweneo huo wa mapato unachangia katika kuboresha uwezo wa kiununuzi wa umma. Huu ni msingi muhimu wa maendeleo. Upanuzi na ueneaji wa viwanda vidogo vidogo ni msingi mkubwa wa kujitegemea kiuchumi. Aghalabu viwanda vikubwa huegemea kwenye mitaji ya mashirika ya kimataifa na huwa msingi wa kuendelezwa kwa utegemezi wa kiuchumi.
Maswali
a)Kwa nini viwanda ni muhimu?
b)Ni nini kiini cha matatizo ya uuzaji wa bidhaa katika nchi zinazoendelea?
c)Eleza faida zinazotokana na kuwepo kwa viwanda vidogo vidogo.
d)Usambazaji wa viwanda katika maeneo ya mashambani una faida gani?
e)Fafanua maana ya msamiati huu kama ulivyotumika katika kifungu.
i)Kujasurisha
ii)Amali
iii)Utashi
Date posted:
October 3, 2019
-
The table below illustrates the relationship between land in hectares , inputs (DAP) fertilizers and total maize production in 90kg bags , and the marginal production in 90 Kg maize bags.
Fill in the column of marginal production in 90Kg bags of maize
Date posted:
October 3, 2019
-
State the effect of the following transactions on the balance sheet items
Date posted:
October 3, 2019
-
State the expenses that are incurred in the process of distributing goods
Date posted:
October 3, 2019
-
Onyesha aina za virai katika sentensi hii.
Wazazi wetu watawasili kesho saa tatu.
Date posted:
October 3, 2019
-
The following is a farm record which was extracted from Kaimosi Tea Estate Farm as at 31st December 2013. Study it carefully and answer the questions that follow.
Ksh
Cash at hand 20,000
Cash at bank 66,000
Buildings 50,000
Disc ploughs 16,000
Debtors 16,000
Working tools 12,000
Bank overdraft 24,000
Creditors 20,000
Farm loan 50,000
Cattle 40,000
Land 80,000
a) State two benefits of the balance sheet to the Kaimosi Tea Estate
b) Prepare the balance sheet from the above information for Kaimosi Tea Estate.
Date posted:
October 3, 2019
-
Eleza matumizi mawili ya "ka".
Date posted:
October 3, 2019
-
Outline the measures that should be taken to ensure smooth functioning of the warehouse
Date posted:
October 3, 2019
-
Briefly explain the fate of the following products from the light stage of the process of
Photosynthesis:
(a) Oxygen
(b) Hydrogen
(c) ATP
Date posted:
October 3, 2019
-
State two ways in which guard cells differ from other epidermal cells.
Date posted:
October 3, 2019
-
Tambua hali katika sentensi ifuatayo.
Vyungu vya aina hii vyafinyangwa na huyu.
Date posted:
October 3, 2019
-
Briefly explain the symbiotic relationship in the root nodule of a leguminous plant.
Date posted:
October 3, 2019
-
Briefly explain the effect of poisoning the roots hair on the uptake of nitrate by plants.
Date posted:
October 3, 2019
-
b)State the role of emulsification in the digestion of fats in the alimentary canal.
b) What is the function of hydrochloric acid in the alimentary canal.
Date posted:
October 3, 2019
-
List the benefits that a subsistence producer may get by participating in the exchange of goods
Date posted:
October 3, 2019
-
The diagram below represents a cell organelle.
i) Name the part labeled Y
ii) State the function of the part labeled X
Date posted:
October 3, 2019
-
Tumia kitenzi "amerudi" kuonyesha dhana tatu za kiimbo.
Date posted:
October 3, 2019
-
The diagram below is of a certain type of neurons
(a) Identify the type of neuron
(b) Give a reason for your answer in (a) above
(c) Give the functions of the parts labeled A, B, and D
Date posted:
October 3, 2019
-
A solution of sugar cane was boiled with hydrochloric acid and sodium hydrogen carbonate was added to the solution, which was then boiled with benedicts solution. An orange precipitate was formed.
(a) Why was the solution boiled with hydrochloric acid and then sodium hydrogen carbonate added in it
(b) To which class of carbohydrates does sugar cane belong?
(c) State the form in which carbohydrates are:
(i) Transported in animals
(ii) Transported in plants
Date posted:
October 3, 2019
-
The following reaction may occur in a forward and backward direction.
(a) Name the organelle where the reaction occurs in:
(i) Forward direction
(ii) Backward direction
(b) Give one difference and one similarity for the two organelles named in (a) above
Date posted:
October 3, 2019
-
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.
Kuna sababu kadha za kuwako na kushamiri kwa ajira ya watoto. Moja ya sababu hizo ni umaskini unaozikumba jamaa nyingi pamoja na welewa mdogo wa thamani ya elimu wa baadhi ya watu katika jamii. Wapo watoto ambao hushurutika kubeba jukumu la kujizumbulia riziki wenyewe kutokana na hali duni ya familia zao.
Hali hii huweza kutokana na baadhi ya wazazi kutelekeza majukumu yao ya kimsingi ya kuikimu jamaa yao. Aidha kuna sehemu nyingine ambapo hali hii imetokana na janga sugu la ukimwi. Yapo maeneo ambako kuenea kwa ugonjwa huu kumewafanya viongozi wa jamaa kupukutika kama majani ya mti na kuwalazimisha watoto kuyakatiza masomo yao ili wawakidhie haja wadogo zao. Kuhusiana na kutelekeza majukumu, kuna wazazi ambao wanakosea kwa kutowaelekeza watoto wao kujua maadili mema ni yepi. Kwa njia hii watoto hao wanaishia kutumbukia kwenye matatizo makubwa.
Baadhi ya ajira zina athari kubwa sana kwa watoto. Ukahaba, kwa mfano, ni mojawapo ya ajira ambazo watoto wa kike hulazimika kujiingiza. Hii ni ajira ambayo inaweza kuwatumbukiza watoto hao katika hatari kubwa kutokana na uwezekano mkubwa wa kuambukizwa maradhi ya ukimwi. Asillimia kubwa ya watoto wanaotumbukia katika ajira hii, inapatikana katika maeneo ya mijini na sehemu ambako utalii umeshamiri sana. Umaskini pamoja na dhiki za mijini huwalazimisha watoto hao wa kike kuishia kwenye biashara za aina hiyo. Wengine hufanyiwa hila na wafanyabiashara ambao wametovukwa na utu kutokana na tamaa yao kubwa ya kujitajirisha. Katika maeneo ambako utalii umeshamiri, ukahaba wa watoto unatokana na umaskini pamoja na kusambaa na kuenea kwa maadili ajinabi, ya ulimwengu usio wetu.
Ikiwa umaskini ni chocheo kubwa la kuwapo kwa ajira ya watoto, basi inahalisi serikali zetu zifanye kila juhudi kuhakikisha kuwa umaskini umepigwa vita. Pana umuhimu wa kuhakikisha kuwa wanajamii wote wamepewa nafasi sawa za kujikwamua kutoka lindi la umaskini. Isitoshe, pana umuhimu wa juhudi nyingi kufanywa kuhakikisha kuwa nafasi za shule zimepanuliwa ili kuikidhi idadi kubwa ya watoto ambao wana kiu ya elimu. Serikali haina budi pia kuhakikisha kuwa zimepitishwa sheria zinazomlinda motto dhidi ya ukatili unaotokana na watu waliokosa hisia za utu na ubinadamu. Upo pia umuhimu wa kuvisaidia vikundi vinavyojitahidi kuwasaidia watoto ili kuzifanikisha juhudi zao kwa kuwa chanda kimoja hakivunji chawa kama tujuavyo.
Hatua nyingine ambazo zinaweza kuchukuliwa ili kupunguza ajira ya watoto ni kuwahamasisha wanajamii kuhusu haki za mtoto. mtoto yeyote yule ana haki ya kupata elimu ya msingi. Mtoto pia ana haki ya kuishi na kupata mahitaji ya kimsingi na ya lazima kama chakula, malazi au makazi na matunzo ya kiafya. Aidha mtoto ana haki ya ukuaji, yaani kukua kikamilifu pasi na kizuizi na katika mazingira yasiyombana kwa njia yoyote ile. Isitoshe, mtoto ana haki ya kupata ulinzi dhidi ya unyanyaswaji au udhalilishwaji wa aina yoyote ile au hata maonevu kwenye misingi yoyote iwayo. Mtoto pia ana haki ya kuwa huru kushiriki katika jumuiya yake, kutoa maoni na kujieleza, kushirikiana na kujiunga na vikundi. Mwisho, na muhimu zaidi, mtoto ana haki ya kulindwa dhidi ya ajira au aina yoyote ya kazi ambayo inaihatarisha afya na siha yake au inamzuia asipate elimu.
(a) Fupisha aya mbili za mwanzo bila kubadilisha maana. (maneno 60-70)
(b) Eleza hoja muhimu zinazojitokeza katika aya mbili za mwisho. (Maneno 50-60)
Date posted:
October 3, 2019
-
One of the components of bile is a chemical left over from destruction of red blood cells.
i) Identify the chemical substance
ii) What is the role of bile in digestion
Date posted:
October 3, 2019
-
State two ways in which the guard cells differ their adjacent epidermal cells
Date posted:
October 3, 2019
-
The diagram below shows how food boles move along the human esophagus and the Intestine.
(a) Identify the process illustrated in the diagram
(b) Briefly state how the movement of food boles from position 1 to position 2 is achieved
(c) Name one component of a persons diet that assists in the movement of food described in
(b) above
Date posted:
October 3, 2019
-
A biological washing detergent contains enzymes which remove stains like mucus and oils from clothes which are soaked in water with the detergent:-
(a) Name two groups of enzymes that are present in detergent
(b) Explain why stains would be removed faster with the detergent in water at 35 degree C rather than at 15 degrees C
Date posted:
October 3, 2019