-
Onyesha hali katika sentensi zifuatazo.
(i) Huenda mvua isinyeshe msimu huu.
(ii) Waislamu huenda msikitini kuomba kila Ijumaa.
Date posted:
October 2, 2019
-
Describe how deep shaft mining is carried out.
Date posted:
October 2, 2019
-
Explain reasons why Abraham is referred to as the Father of faith
Date posted:
October 2, 2019
-
Tambua viambishi awali na tamati katika neno ajaye
Date posted:
October 2, 2019
-
Maneno yafuatayo yako katika ngeli gani.
Kero.
Nywele.
Date posted:
October 2, 2019
-
Eleza matumizi ya ku katika jozi zifuatazo za sentensi.
(i) Kuchora kwao kulikuwa kwa uangalifu mkubwa
(ii) Nilikuita lakini hukuitika
Date posted:
October 2, 2019
-
Andika sentensi ifuatayo katika umoja.
Manukato haya yananukia vizuri
Date posted:
October 2, 2019
-
Bainisha aina ya neno lililopigiwa mstari katika sentensi ifuatayo.
Kuimba kwa Yusufu kunaudhi
Date posted:
October 2, 2019
-
Akifika sentensi ifuatayo kwa kutumia alama ya kibainishi kisha eleza matumizi yake.
Ntakwenda Unguja mwezi wa Disemba
Date posted:
October 2, 2019
-
Andika sentensi ifuatayo katika kauli iliyo mabanoni.
Paka analamba mchuzi (kutendwa)
Date posted:
October 2, 2019
-
Name three main areas where tropical rain forests are found in the world.
Date posted:
October 2, 2019
-
Name a mineral which occurs in each one of the following places in East Africa.
i) Kwale in Kenya.
ii) Geita in Tanzania
iii) Kilembe in Uganda
Date posted:
October 2, 2019
-
Utoaji wa Huduma ya Kwanza.
Inaaminika kuwa majeruhi wengi katika mikasa ya ajali huaga au huathirika vibaya zaidi kutokana na hali mbaya ya uokoaji. Watu wengi ambao hujitolea kuokoa majeruhi baada ya ajali kama za barabarani, maporomoko ya ardhi au nyumba huwa hawang‘amui hata chembe jinsi ya kukabiliana na uokoaji. Hatima ya juhudi zao ambazo hulenga kutenda mema ni kuathirika zaidi kwa majeruhi.
Hali ya ukoaji inaweza kurekebishwa kwa kutoa elimu ya huduma ya kwanza kwa umma. Elimu hii yahitajika na kila Mkenya kwani mikasa ya ajali za barabarani na nyinginezo inaendelea kutokea kila siku.Ajali zinapotokea, si ajabu kuona makundi ya waokoaji yakibeba majeruhi hobelahobela bila kuzingatia madhara yanayoweza kuwaongezea kutokana na ubebaji wao. Kutojua namna ya kumbeba majeruhi kunaweza kumhatarisha na hata kusababisha kifo.
Kuna mambo mbalimbali ambayo makundi ya waokoaji yanatakiwa kuzingatia wakati yanatoa huduma ya kuokoa. Kwanza, ni muhimu kuchunguza kama kuna hatari yoyote inayoweza ikatokea na kuwatia majeruhi na waokoaji hatarini zaidi. Makundi ya waokoaji yameweza kuhatarisha majeruhi kwa kuliingilia eneo la ajali mbumbumbu kama mzungu wa reli.
Hatua ya pili ni kutafuta idadi ya majeruhi. Pana uwezekano wa majeruhi kutupwa mbali na eneo la ajali. Vivyo hivyo, kuna majeruhi ambao huweweseka baada ya ajali na kuanza kutembea wasijue wanakoelekea. Wengi wao huanguka karibu na eneo la ajali au wakaenda mbali.
Hatua ya tatu ni kuchunguza kama majeruhi amezimia, moyo unapiga na jinsi anavyopumua. Ili kuhakikisha kuwa majeruhi anapumua, mwokoaji atazame kama kifua kinapanda na kushuka. Halikadhalika, mwokoaji anaweza kusikiliza au kuguza kifua na kuona kama kuna ishara za kupumua. Iwapo majeruhi anapumua, mwokoaji amweke katika hali ambayo itaimarisha kupumua kwake. Anaweza akamlaza chali au kumgeuza kwa pamoja na kichwa chake ili kufungua mkondo wa hewa. Pia, mwokoaji ahakikishe hamna chochote kinywani kinachoweza kumsakama. Ikiwa hapumui, mwokoaji anaweza kujaribu kumfanya apumue kwa kupuliza hewa mdomoni mwake. Fauka ya hayo, upulizaji wa hewa utahakikisha kuwa damu inazunguka mwilini vizuri.
Maswali :
(a) Fupisha aya mbili za kwanza kwa maneno 55 – 65.
(b) Eleza kwa kutumia maneno 90-100, hatua zinazotakiwa kufuatwa wakati wa uokoaji.
Date posted:
October 2, 2019
-
Identify the commandments king Ahab and jezebel broke.
Date posted:
October 2, 2019
-
Explain Traditional African use of beer.
Date posted:
October 2, 2019
-
What are the reasons that made Jewish leaders to rise against Jesus?.
Date posted:
October 2, 2019
-
State evidence that shows that Jesus resurrected from death.
Date posted:
October 1, 2019
-
Identify the qualities for one to become a leader in the African Traditional society.
Date posted:
October 1, 2019
-
Identify the challenges that face the practice of circumcision in our society today.
Date posted:
October 1, 2019
-
SABUNI YA ROHO
Ewe tunu ya mtima, kwa nini wanikimbia?
Ndiwe suluhu za zama, waja wakukimbilia,
Waja wanakutazama, madeni wakalipia,
Ndiwa sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.
Ndiwe mafuta ya roho, walisema wa zamani,
Utanunua majoho, majumba na nyumbani,
Umezitakasa roho, umekuwa mhisani,
Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvinja mlima.
Matajiri wanakujua, wema wako wameonja,
Nguo zao umefua, wakupata kwa ujanja,
Sura zao ‗mefufua, wanazuru kila njanja,
Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.
Ndiwe mvunja mlima, onana na maskini,
Watazame mayatima, kwao kumekua duni,
Webebe waliokuwa, wainue walio chini,
Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.
Ndiwe mvunja mlima, wapi kapata uwezo,
Umezua uhasama, waja kupata mizozo,
Ndiwe chanzo cha zahama, umewatia vikwazo,
Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.
Umevunja usuhuba, familia zazozana,
Waliokuwa mahabuba, kila mara wagombana,
Roho zao umekaba, majumbani wachinjana,
Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.
Nakutafuta kwa hamu, sabuni unirehemu,
Sinilipue ja bomu, sije kawa marehemu,
Niondoe jahanamu, ya ufukara wa simu,
Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.
Naondoka wangu moyo, nikuitapo itika,
Fulusi wacha uchoyo, tatua yalonifika,
Nichekeshe kibogoyo, nami nipate kuwika,
Ndiwe sabuni ya roho, ndiwe mvunja mlima.
Date posted:
October 1, 2019
-
Mstahiki Meya
Jadili matumizi ya mbinu ya ishara katika tamthilia hii.
Date posted:
October 1, 2019
-
Identify ways in which Christians can assist internally displaced persons in Kenya.
Date posted:
October 1, 2019
-
Riwaya ya Kidagaa Kimemwozea imesheheni hali zinazotukia bila kutarajiwa. Fafanua.
Date posted:
October 1, 2019
-
Identify the problems which resulted from the gift of talking in tongues at Corinth Giving Paul’s solutions.
Date posted:
October 1, 2019
-
Give incidences in St. Luke's gospel when Jesus healed on Sabbath
Date posted:
October 1, 2019
-
Damu Nveusi na Hadithi nyingine
"………Alimaliza kwa kuandika, "yajayo yapokee"
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
(b) Thibitisha ufaafu wa anwani ya hadithi hii.
Date posted:
October 1, 2019
-
How has science and Technology impacted negatively on the spread of Christianity?
Date posted:
October 1, 2019
-
Kidagaa kimemwozea
"Alikuwa na kiu lakini si ya maji, kadhalika alikuwa na njaa lakini si ya chakula Habebeki mwanamume habebeki……."
(a) Weka dondoo hili katika muktadha wake .
(b) Eleza tamathali mbili zilizotumika katika dondoo hili.
(c) Eleza aina za kiu na njaa zilizomkumba mrejelewa wa kwanza.
(d) Mrejelewa wa pili alishindwa mtihani wa maisha. Jadili.
Date posted:
October 1, 2019
-
Tamthilia nzima ya Mstahiki Meya.
"Duniani kuna watu na viatu"
(a) Fafanua muktadha wa dondoo hili.
(b) Thibitisha ukweli wa kauli hii ukirejelea tamthilia nzima ya Mstahiki Meya.
Date posted:
October 1, 2019
-
Outline six instructions given to man by God in the creation stories.
Date posted:
October 1, 2019