Get premium membership and access revision papers, questions with answers as well as video lessons.
Got a question or eager to learn? Discover limitless learning on WhatsApp now - Start Now!

Historical Development Of Kiswahili Question Paper

Historical Development Of Kiswahili 

Course:Bachelor Of Education In Kiswahili

Institution: Kenyatta University question papers

Exam Year:2007



KENYATTA UNIVERSITY
UNIVERSITY
EXAMINATIONS
2007/2008
FIRST SEMESTER EXAMINATION
FOR THE DEGREE OF BACHELOR OF
ARTS
AKS 102: HISTORICAL
DEVELOPMENT
OF KISWAHILI
DATE: Wednesday 5th December, 2007
TIME:
8.00 a.m. - 10.00 a.m.
MAAGIZO: Jibu maswali matatu. Swali la KWANZA ni la lazima.
1. Kwa kuzingatia ushahidi wa Historia Simulizi, dhihirisha ukweli kwamba lugha ya
Kiswahili ilikuwepo hapa Afrika Mashariki hata kabla ya maajilio ya wageni.
2.
Eleza namna sera ya lugha ilivyotumiwa kustawisha na kukwamiza maendeleo ya
lugha ya Kiswahili nchini Kenya baada ya uhuru.
3. Tathmini mchango wa Wamisheni katika uendelezaji wa lugha ya Kiswahili katika
Afrika Mashariki kabla ya ukoloni.
4. "Kiswahili kilienezwa na Waarabu hapa Afrika ya Mashariki na ya Kati kwa sadfa."
Fafanua kauli hii kwa kutoa mifano inayofaa.
5. Eleza historia ya usanifishaji wa lugha ya Kiswahili kuanzia mwaka wa 1930 hadi
1964.
6. Fafanua sababu zilizotatiza ustawishaji na uenezaji wa lugha ya Kiswahili Ama
nchini Uganda Au nchini Rwanda na Burundi.
***






More Question Papers


Popular Exams



Return to Question Papers