
? Elimu inasaidia kuelezea hisia za mtu kupitia maandishi. Mfano - Amani
ameandika mswada kuonyesha msimamo wake katika masuala tofautiElimu
iliyosisitizwa ni elimu ya kujielewa. Elimu ya kujua mtu atoka wapi na
anaelekea wapi kwa mujibu wa Amani. Elimu imesawiriwa kuwa muhimu
licha ya utajiri na kutosheka maishani. Baada ya muda mrefu, Amani
anarudi chuoni na kupata shahada ya kwanza katika Fasihi na Falsafa.
Elimu ni njia ya kujipatia heshima na umaarufu. Nasaba Bora alimheshimu
ndugu yake kwa uwezo wake katika lugha. Hakupenda wakati ambapo
inamlazimu kusoma hotuba kwa kiingereza asichokielewa
? Wasio na elimu wanabaki kutaabika. Mfano Chwechwe Makweche baada
ya kuacha masomo katika darasa la saba na kuwa mchezaji shupavu,
analemewa na maisha baada ya kuvunjika pfupaja la mguu.
? Elimu imetumiwa kama chombo cha kuwakweza baadhi ya raia katika
madaraka - kama Majisifu anapata kazi kutokana na elimu yake.
? Elimu pia imetumiwa kama chombo cha mapinduzi kwa kutetea haki za
wanyonge. Mfano - Madhubuti anapomaliza masomo yak Urusi anaungana
na Amani kuleta mabadiliko Sokomoko.
? Imani katika dini inajitokeza ambapo kila linapojitokeza jambo mbaya watu
hukimbilia dini.
? Kwa upande mwingine dini imebainishwa kama chombo cha kuadilisha.
Mfano: babake Nasaba Bora na Majisifu aliwalea kwa mwongozo wa bibilia
huku akiwasihi waishi kwa umoja na upendo.
? Dini pia huweza kutumiwa kama hifadhi ya maovu. Kwa mujibu wa
Majisifu maovu mengi kama vile mauaji hufanywa katika jina la Mungu
kutokana na unafiki. Dini ina jukumu la kuwapoza wanaomboleza. - Dini
imetekeleza jukumu la kuunganisha familia pamoja mfano: Babake Nasaba
Bora alihakikisha familia yake imeunganishwa na dini.
gregorymasila answered the question on February 6, 2018 at 07:00
-
Jadili dhima ya fasihi katika jamii
(Solved)
Jadili dhima ya fasihi katika jamii
Date posted:
February 6, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa za Kenga kama zinavyojitokeza wazi katika tamthilia ya kigogo.
(Solved)
Fafanua sifa za Kenga kama zinavyojitokeza wazi katika tamthilia ya kigogo.
Date posted:
January 31, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza changamoto zilizoukabili usanifishaji wa kiswahili.
(Solved)
Eleza changamoto zilizoukabili usanifishaji wa kiswahili.
Date posted:
January 30, 2018
.
Answers (1)
-
Je, miviga ina upungufu gani?
(Solved)
Je, miviga ina upungufu gani
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua kikamilifu dhana zifuatazo za fasihi simulizi
i) Nyiso
ii) Mbolezi
iii) Hodiya
iv) Bembelezi
v) Sifo
(Solved)
Fafanua kikamilifu dhana zifuatazo za fasihi simulizi
i) Nyiso
ii) Mbolezi
iii) Hodiya
iv) Bembelezi
v) Sifo
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika katika usemi wa taarifa
“Karibu Bakari, tafadhali kaa”, Maimuna alisema. “Asante, je, habari za nyumbani?” Bakari aliuliza
(Solved)
Andika katika usemi wa taarifa
“Karibu Bakari, tafadhali kaa”, Maimuna alisema. “Asante, je, habari za nyumbani?” Bakari aliuliza
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
Wimbi hilo la maji lilimhofisha mvuvi akashindwa kutupa wavu wake majini.
(Solved)
Andika kwa wingi
Wimbi hilo la maji lilimhofisha mvuvi akashindwa kutupa wavu wake majini.
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
(Solved)
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
(Solved)
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
(Solved)
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
(Solved)
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha: Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
(Solved)
Sahihisha
Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
(Solved)
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mkufu.
(Solved)
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mku
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
(Solved)
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake
(Solved)
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake.
Date posted:
January 13, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
(Solved)
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
Date posted:
December 29, 2017
.
Answers (1)
-
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
(Solved)
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
Date posted:
December 24, 2017
.
Answers (1)
-
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
(Solved)
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
Date posted:
December 15, 2017
.
Answers (1)
-
Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili
(Solved)
Taja nadharia zozote mbili zinazohusiana na chimbuko la lugha ya kiswahili
Date posted:
December 15, 2017
.
Answers (1)