
(a) Shairi hili ni la aina gani? Toa sababu.
? Tarbia - mishororo mine katika kila mshororo.
(b) Kwa kutoa hoja ime, eleza kwa nini shairi hili likaitwa kilio cha lugha.
? Kiswahili chapuuzwa kuwa hakijakomma
? Waliosoma hawakienzi Kiswahili wakifikiria hawana haja na lugha hii.
? Viongozi hawakienzi Kiswahili katika kujenga siasa.
? Kiswahili hakipewi nafasi.
? Waafrika hawaoni utajiri wa Kiswahili kuwa na msamiati kutoka aarika
nzima.
(c) Andika ubeti wa tatu kwa lugha ya nathari.
? Kila mmoja aelewe
? Mlipokuwa vijana mlikitumia Kiswahili.
? Baada ya kusoma mmeanza kukidharau
? Kwa kufanya hivi mjue mwafurahia utumwa.
(d) Eleza toni ya shairi hili.
? Toni ya huzuni - lugha ya mtu mweusi chalia.
(e) Tambua uhuru wa kishairi uliotumiwa kwa kurejelea mifano milatu.
? Inkisari - kiwa - nikiwa
? Mazida - muelewe - mwelewe
? Tabdila - mulithamini - mlithamini.
? Kuboronga lugha - hamna name imani - hamna imani name.
? Utuhozi - risaruni.
(f) Bainisha nafsineni katika shairi.
Hafsheni
? Mtetezi wa lugha ya Kiswahili anayelalamikia kupuuzwa kwa Kiswahili.
? Aliyezinduka na kutambua umuhimu wa Kiswahili barni Afrika.
(g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kwa mujibu wa shairi.
(i) nasongwa
? Nasagwa – naumia
(ii) kuriaria
? kuzurura, kurandaranda
(iii) adinasi
? binadamu
gregorymasila answered the question on February 6, 2018 at 07:13
-
Fafanua mjukumu ya elimu na dini katika jamii kwa mujibu wa riwaya:
Kidagaa Kimemwozea.
(Solved)
Fafanua mjukumu ya elimu na dini katika jamii kwa mujibu wa riwaya:
Kidagaa Kimemwozea.
Date posted:
February 6, 2018
.
Answers (1)
-
Jadili dhima ya fasihi katika jamii
(Solved)
Jadili dhima ya fasihi katika jamii
Date posted:
February 6, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa za Kenga kama zinavyojitokeza wazi katika tamthilia ya kigogo.
(Solved)
Fafanua sifa za Kenga kama zinavyojitokeza wazi katika tamthilia ya kigogo.
Date posted:
January 31, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza changamoto zilizoukabili usanifishaji wa kiswahili.
(Solved)
Eleza changamoto zilizoukabili usanifishaji wa kiswahili.
Date posted:
January 30, 2018
.
Answers (1)
-
Je, miviga ina upungufu gani?
(Solved)
Je, miviga ina upungufu gani
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Fafanua kikamilifu dhana zifuatazo za fasihi simulizi
i) Nyiso
ii) Mbolezi
iii) Hodiya
iv) Bembelezi
v) Sifo
(Solved)
Fafanua kikamilifu dhana zifuatazo za fasihi simulizi
i) Nyiso
ii) Mbolezi
iii) Hodiya
iv) Bembelezi
v) Sifo
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika katika usemi wa taarifa
“Karibu Bakari, tafadhali kaa”, Maimuna alisema. “Asante, je, habari za nyumbani?” Bakari aliuliza
(Solved)
Andika katika usemi wa taarifa
“Karibu Bakari, tafadhali kaa”, Maimuna alisema. “Asante, je, habari za nyumbani?” Bakari aliuliza
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa wingi
Wimbi hilo la maji lilimhofisha mvuvi akashindwa kutupa wavu wake majini.
(Solved)
Andika kwa wingi
Wimbi hilo la maji lilimhofisha mvuvi akashindwa kutupa wavu wake majini.
Date posted:
January 17, 2018
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
(Solved)
Andika upya sentensi ifuatayo ukitumia virejeshi vya tamati:
Mwanafunzi anayefanikiwa maishani ni yule anayesoma kwa bidii na pia anayewatii wazazi wake.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
(Solved)
Onyesha chagizo katika sentensi ifuatayo
Watu wanne walipeperushwa juu kwa juu na upepo mkali
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
(Solved)
Unda nomino kutokana na kivumishi:refu
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
(Solved)
Akifisha
Mtume asimame nusura aingie kwenye shimo la taka.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha: Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
(Solved)
Sahihisha
Siku hizi mahitaji imezidi na pesa haitoshi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
(Solved)
Sahihisha
Ndegwa alipeana kalamu yake kwa mwanafunzi.
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mkufu.
(Solved)
Andika kwa usemi halisi:
Yule mshukiwa aliyekamatwa na polisi alisema kuwa papo hapo ndipo alipoficha ule mku
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
(Solved)
Taja tofauti iliyopo kati ya sauti /f/ na /v/
Date posted:
January 16, 2018
.
Answers (1)
-
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake
(Solved)
Sababu za kubadilisha msimbo na athari zake.
Date posted:
January 13, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
(Solved)
Taja aina mbili za mofimu na kwa kila toa mfano
Date posted:
December 29, 2017
.
Answers (1)
-
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
(Solved)
Ni nini maana na umuhimu wa miviga katika jamii?
Date posted:
December 24, 2017
.
Answers (1)
-
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
(Solved)
Kwa kutolea mifano,eleza sifa zozote nne za kimsingi za sajili inayoweza kutumika darasani
Date posted:
December 15, 2017
.
Answers (1)