Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Je hekaya zina umuhimu gani katika jamii?

Je hekaya zina umuhimu gani katika jamii?

Answers


KELVIN
?Kutoa maadili kwa wanajamii ili waache kuwatendea wenzao ujanja na kuwalaghai.
?Hufunza watu kuhusu matendo mema.
?Huonya dhidi ya upumbavu.
?Hufunza kuwa katika ulimwengu uliojaa hila na udanganyifu silaha ni maarifa,wema na maadilifu

kalvinspartan answered the question on July 24, 2018 at 09:32

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions