Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza nini maana ya hurafa katika fasihi simulizi kisha toa sifa zake nne

Eleza nini maana ya hurafa katika fasihi simulizi kisha toa sifa zake nne

Answers


KELVIN
Ni hadithi zinazohusisha wanyama kama wahusika.
Sifa
?Huwa na wahusika wanyama.
?Wanyama hupewa sifa za binadamu.
?Wanyama huwakilisha binadamu wa kawaida.
?Huonyesha maadili katika jamii.

kalvinspartan answered the question on July 24, 2018 at 09:34

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions