Mkusanyaji hakabiliana ana kwa ana na watu anaonuia kupata maarifa kutoka kwao. Mkusanyaji atakuwa ameandaa maswali atakayouliza katika kikao rasmi mkusanyaji pia anaweza kushiriki mahojiano yasiyo rasmi bila kunakili majibu papo hapo, maelezo huweza kuhifadhiwa katika kanda ya kunasa sauti.
Umuhimu wa mahojiano
a) Kwa vile mtafiti anatazama ana kwa ana na mhojiwa ni rahisi kupata habari za kina na kutegemeka.
b) Mbinu za uwasilishaji k.m toni, ishara za uso na kiimbo hubainika kwa mtafiti hivyo kuimarisha uelewa wake.
c) Mtafiti anaweza kumfafanulia mhojiwa maswali na kumwezesha kupata data ya kuaminika zaidi.
d) Kwa vile mtafiti anamhoji mlengwa moja kwa moja anaweza kurekodi majibu ya mhojiwa moja kwa moja au kuyaandika, si rahisi kupotea.
e) Mtafiti huweza kubadilisha mtindo wa kuhoji kulingana na kiwango cha elimu cha mhojiwa, ili kupata majibu bora zaidi.
kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 12:52
-
Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi
(Solved)
Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi
(Solved)
Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa kutazama kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi
(Solved)
Eleza umuhimu wa kutazama kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza udhaifu wa kushiriki kama njia ya kukusanya fasihi
(Solved)
Eleza udhaifu wa kushiriki kama njia ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya kushiriki kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi huku ukitoa umuhimu wake
(Solved)
Eleza maana ya kushiriki kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi huku ukitoa umuhimu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya misemo huku ukitolea mifano
(Solved)
Eleza maana ya misemo huku ukitolea mifano.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhima ya nahua katika fasihi
(Solved)
Eleza dhima ya nahua katika fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya nahau
(Solved)
Eleza maana ya nahau.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhima ya mafumbo
(Solved)
Eleza dhima ya mafumbo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza uhusiano uliopo baina ya mafumbo na chemsha bongo
(Solved)
Eleza uhusiano uliopo baina ya mafumbo na chemsha bongo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Vitanza ndimi huwa na dhima gani katika jamii
(Solved)
Vitanza ndimi huwa na dhima gani katika jamii.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya vitanza ndimi
(Solved)
Eleza maana ya vitanza ndimi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Lakabu zina umuhimu gani katika jamii
(Solved)
Lakabu zina umuhimu gani katika jamii.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa tano mahususi za lakabu
(Solved)
Taja sifa tano mahususi za lakabu.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia nomino milikishi na nomino dhahania
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia nomino milikishi na nomino dhahania.
Date posted:
August 4, 2018
.
Answers (1)
-
Chagizo ni nini?
(Solved)
Chagizo ni nini?
Date posted:
August 4, 2018
.
Answers (1)
-
Shadda ni nini?
(Solved)
Shadda ni nini?
Date posted:
August 3, 2018
.
Answers (1)
-
Nini maana ya kijalizo katika sarufi ya Kiswahili?
(Solved)
Nini maana ya kijalizo katika sarufi ya Kiswahili?
Date posted:
August 3, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya lakabu
(Solved)
Eleza maana ya lakabu.
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza njia tofauti za kuanisha misimu
(Solved)
Eleza njia tofauti za kuanisha misimu
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)