Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Lugha ni himaya ya binadamu pekee. Thibitisha

Lugha ni himaya ya binadamu pekee. Thibitisha

Answers


Esther
Lugha hutokana na sauti, na viumbe vyote vilivyo na uhai vyaweza kutoa hiyo sauti lakini hawawezi kupanga sauti hiyo kwa kuambatanisha silabi ikawa nasibu basi hivo , binadamu pekee anatoa sauti inayotoka kwenye mapafu hupitia kwenye umio wa koo ambapo hupigwapigwa kisha kwenye mdomo na kutoa sauti inayoeleweka na kuwa lugha .
Estherjeps answered the question on August 31, 2018 at 19:16

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions