
? Neno linalotaja kiumbe, kitu, hali, mahali, tendo, dhana, n.k.
Aina
? Nomino za Pekee
? Ambazo hutaja kitu kwa kutumia jina lake/ambazo hutambulisha upekee wa kitu hicho.
? Mwanzoni huandikwa kwa herufi kubwa.
? majina ya watu k.m. Kamau
? mahali k.m. Mombasa
? siku k.m. Alhamisi
? miezi k.m. Disemba
? miaka k.m. 1930
? milima k.m. Kilimanjaro
? Mito k.m. Tana
? maziwa k.m. Victoria
? bahari k.m. Hindi
? Mabara k.m. Africa
? Nomono za Kawaida/Jumla
? Majina ya jumla ya viumbe/vitu vinavyoonyesha umbile la jinsi moja k.m. mtu, gari, kalamu, n.k.
? Nomino za Jamii
? Majina ya makundi ya viumbe au vitu k.m. bunge, jamii, halaiki, bunda n.k.
? Nomino za Wingi
? Majina ya vitu vitokeavyo kwa wingi japo kimsingi hazina umoja au wingi k.m. maji, mate, maziwa, mahubiri, marashi, mchanga, ngeu, poda, unga, n.k.
? Nomino za Dhahania
? Majina ya viumbe au mambo ya kudhani/yasiyoweza kugusika k.m. k.m ujinga, werevu, malaika, shetani, amani, imani, roho, wazo, dhana, n.k.
? Nomino za Vitenzi Jina
? Vitenzi vyenye kiambishi awali ku ambavyo huweza pia kutumika kama nomino k.m. Kucheza kwake kunaudhi.
kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 13:18
-
Viyeyusho au nusu irabu ni sauti gani?
(Solved)
Viyeyusho au nusu irabu ni sauti gani?
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Kimadende ni sauti gani
(Solved)
Kimadende ni sauti gani
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Kitambazi ni sauti gani?
(Solved)
Kitambazi ni sauti gani?
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya ving'ong'o au nazali
(Solved)
Eleza maana ya ving'ong'o au nazali.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eeza maana ya vipasuo kwamizo
(Solved)
Eeza maana ya vipasuo kwamizo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya vikwamizo
(Solved)
Eleza maana ya vikwamizo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya vipasuo
(Solved)
Eleza maana ya vipasuo
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya viyeyusho
(Solved)
Eleza maana ya viyeyusho
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza mahali ambapo kila irabu za kiswahili hutamkiwa na jinsi zinavyotamkwa
(Solved)
Eleza mahali ambapo kila irabu za kiswahili hutamkiwa na jinsi zinavyotamkwa.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Taja aina tofauti za ala za sauti.
(Solved)
Taja aina tofauti za ala za sauti.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza aina tofauti za sauti katika lugha ya Kiswahili
(Solved)
Eleza aina tofauti za sauti katika lugha ya Kiswahili.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Nini maana ya shadda au mkazo
(Solved)
Nini maana ya shadda au mkazo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Nini maana ya silabi?
(Solved)
Nini maana ya silabi?
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Ukusanyaji na uhifadhi wa fasihi ni muhimu kwa sababu zipi
(Solved)
Ukusanyaji na uhifadhi wa fasihi ni muhimu kwa sababu zipi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Filamu zina changamoto kadhaa ambazo hutatiza matumizi yake kuhifadhi fasihi
(Solved)
Filamu zina changamoto kadhaa ambazo hutatiza matumizi yake kuhifadhi fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Taja udhaifu wa vinasasauti katika uhifadhi wa fasihi
(Solved)
Taja udhaifu wa vinasasauti katika uhifadhi wa fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Vinasasauti vinatumika kuhifadhi data ya fasihi kwa sababu gani
(Solved)
Vinasasauti vinatumika kuhifadhi data ya fasihi kwa sababu gani.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Udhaifu unakabili matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi data
(Solved)
Udhaifu unakabili matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi data.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi fasihi kisha utaje umihimu wake
(Solved)
Eleza matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi fasihi kisha utaje umihimu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sababu ambazo wewe kama anayekusanya kazi ya fasihi zingechnagia kutotumia mahojiano
(Solved)
Taja sababu ambazo wewe kama anayekusanya kazi ya fasihi zingechnagia kutotumia mahojiano.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)