
a) Fasihi simulizi ni hifadhi ya mitazamo ya kitamaduni ya jamii, ukusanyaji utampa mwanafunzi wa fasihi simulizi fursa ya kuingiliana na jamii iliyozaa fasihi husika ili kuweza kuielewa nyema.
b) Ukusanyaji humpa mwanafunzi wa fasihi simulizi nafasi ya kushuhudia na kuathiriwa moja kwa moja na utendaji wa fasihi simulizi hivyo mwanafunzi huona vipengele hai vya fasihi simulizi k.m uigizaji na hivyo kuielewa kwa kina.
c) Husaidia kurekodi na kuhifadhi tamaduni za jamii na kuzipitisha kwa vizazi vijavyo.
d) Ukusanyaji huiendeleza fasihi simulizi, kwa kurekodi vipera kama ngano, hekiya, historia na mtazamo wa kijumla wa jamii kuhusu maisha huhifadhiwa na kupitishwa
e) Husaidia kuziba pengo la utafiti lililopo, tanzu nyingi za fasihi simulizi hazijafanyiwa utafiti wa kutosha ili kuzihifadhi ukusanyaji utasaidia kuziba pengo hili.
f) Hutumika kama msingi wa uchunguzi wa kiulinganishi wa fasihi simulizi za jamii mbalimbali k.m muundo wa utambaji ngano katika jamii mbalimbali.
g) Ili kuelewa ni kwa nini kwa mfano, utungo mmoja wa fasihi simulizi ukawasilishwa kwa njia tofauti katika muktadha tofauti/jambo hili huwawezesha watafiti na wasomi kuelewa sifa za tungo za fasihi.
h) Utafiti wa fasihi simulizi huwezesha mwanafunzi kupata maarifa au stadi za kufanya utafiti katika taaluma nyingine k.m sosholojia.
i) Husaidia kurekebisha mawazo potovu kuhusu fasihi simulizi k.m kujua ni tanzu gani zilizokuwa za awali kabisa. Umewawezesha wasomi kutambua kuwa tungo nyingi zilizoandikwa zilitokana na simulizi za tungo za fasihi simulizi k.m riwaya, hadithi fupi na novella.
kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 13:02
-
Udhaifu unakabili matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi data
(Solved)
Udhaifu unakabili matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi data.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi fasihi kisha utaje umihimu wake
(Solved)
Eleza matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi fasihi kisha utaje umihimu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Mahojiano ninjia mojawapo ya kukusanya kazi ya fasihi.eleza maana yake huku ukitolea umihumu wake
(Solved)
Mahojiano ninjia mojawapo ya kukusanya kazi ya fasihi.eleza maana yake huku ukitolea umihumu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi
(Solved)
Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi
(Solved)
Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa kutazama kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi
(Solved)
Eleza umuhimu wa kutazama kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza udhaifu wa kushiriki kama njia ya kukusanya fasihi
(Solved)
Eleza udhaifu wa kushiriki kama njia ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya kushiriki kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi huku ukitoa umuhimu wake
(Solved)
Eleza maana ya kushiriki kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi huku ukitoa umuhimu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya misemo huku ukitolea mifano
(Solved)
Eleza maana ya misemo huku ukitolea mifano.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhima ya nahua katika fasihi
(Solved)
Eleza dhima ya nahua katika fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya nahau
(Solved)
Eleza maana ya nahau.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhima ya mafumbo
(Solved)
Eleza dhima ya mafumbo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza uhusiano uliopo baina ya mafumbo na chemsha bongo
(Solved)
Eleza uhusiano uliopo baina ya mafumbo na chemsha bongo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Vitanza ndimi huwa na dhima gani katika jamii
(Solved)
Vitanza ndimi huwa na dhima gani katika jamii.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya vitanza ndimi
(Solved)
Eleza maana ya vitanza ndimi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Lakabu zina umuhimu gani katika jamii
(Solved)
Lakabu zina umuhimu gani katika jamii.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa tano mahususi za lakabu
(Solved)
Taja sifa tano mahususi za lakabu.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia nomino milikishi na nomino dhahania
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia nomino milikishi na nomino dhahania.
Date posted:
August 4, 2018
.
Answers (1)
-
Chagizo ni nini?
(Solved)
Chagizo ni nini?
Date posted:
August 4, 2018
.
Answers (1)
-
Shadda ni nini?
(Solved)
Shadda ni nini?
Date posted:
August 3, 2018
.
Answers (1)