Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza aina tofauti za sauti katika lugha ya Kiswahili

Eleza aina tofauti za sauti katika lugha ya Kiswahili.

Answers


KELVIN
a) Irabu
? Sauti ambazo hutamkwa kwa ulaini bila hewa kuzuiliwa katika ala za sauti.
b) Konsonanti
? Sauti ambazo wakati wa kutamkwa hewa huzuiliwa katika ala za sauti.

kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 13:08

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions