Mkusanyaji wa data ya fasihi simulizi anaweza kutazama au kushiriki na baadaye akaandika aliyoyashuhudia aidha anaweza kuandika wakati maelezo, masimuulizi au sanaa yenyewe inapoendelezwa iwapo anatazama. Hata hivyo vifaa hivi vya kukusanya fasihi simulizi vina udhaifu.
Umuhimu wa maandishi.
a. Data kama vile hadithi, huhifadhiwa kama ilivyotambwa hivyo si rahisi kusahauliwa mashairi na ngano nyingi zimeandikwa vitabuni.
b. Huweza kufikia vizazi vingi kwani maandishi hudumu.
c. Si ghali kama baadhi ya mbinu nyinginezo k.m video
d. Si rahisi kufisidiwa au kupotea, hasa zikiandikwa katika vitabu hadithi, methali na vitendawili vingi vimehifadhiwa hivi.
kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 12:56
-
Mahojiano ninjia mojawapo ya kukusanya kazi ya fasihi.eleza maana yake huku ukitolea umihumu wake
(Solved)
Mahojiano ninjia mojawapo ya kukusanya kazi ya fasihi.eleza maana yake huku ukitolea umihumu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi
(Solved)
Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi
(Solved)
Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa kutazama kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi
(Solved)
Eleza umuhimu wa kutazama kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza udhaifu wa kushiriki kama njia ya kukusanya fasihi
(Solved)
Eleza udhaifu wa kushiriki kama njia ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya kushiriki kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi huku ukitoa umuhimu wake
(Solved)
Eleza maana ya kushiriki kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi huku ukitoa umuhimu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya misemo huku ukitolea mifano
(Solved)
Eleza maana ya misemo huku ukitolea mifano.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhima ya nahua katika fasihi
(Solved)
Eleza dhima ya nahua katika fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya nahau
(Solved)
Eleza maana ya nahau.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhima ya mafumbo
(Solved)
Eleza dhima ya mafumbo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza uhusiano uliopo baina ya mafumbo na chemsha bongo
(Solved)
Eleza uhusiano uliopo baina ya mafumbo na chemsha bongo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Vitanza ndimi huwa na dhima gani katika jamii
(Solved)
Vitanza ndimi huwa na dhima gani katika jamii.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya vitanza ndimi
(Solved)
Eleza maana ya vitanza ndimi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Lakabu zina umuhimu gani katika jamii
(Solved)
Lakabu zina umuhimu gani katika jamii.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa tano mahususi za lakabu
(Solved)
Taja sifa tano mahususi za lakabu.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia nomino milikishi na nomino dhahania
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia nomino milikishi na nomino dhahania.
Date posted:
August 4, 2018
.
Answers (1)
-
Chagizo ni nini?
(Solved)
Chagizo ni nini?
Date posted:
August 4, 2018
.
Answers (1)
-
Shadda ni nini?
(Solved)
Shadda ni nini?
Date posted:
August 3, 2018
.
Answers (1)
-
Nini maana ya kijalizo katika sarufi ya Kiswahili?
(Solved)
Nini maana ya kijalizo katika sarufi ya Kiswahili?
Date posted:
August 3, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya lakabu
(Solved)
Eleza maana ya lakabu.
Date posted:
July 30, 2018
.
Answers (1)