a) Kuna mambo k.m kiimbo, toni, ishara, hisia na mapigo ya mziki ambayo hayawezi kuandikwa kama yalivyowasilishwa na fanani, hivyo hupotea.
b) Aidha, kwa vile maandishi si hai, hayawezi kutenda wala kusema ule uhai hasilia wa fasihi simulizi hufifishwa na kupotezwa na maandishi
c) Baadhi ya watafiti huenda wakandika yale ambayo wanahitaji kwa wakati mahususi na kupuuza mengine k.m ikiwa mada yake ni ‘wahusika katika ngano za kimapokeo’ huenda akajihusisha na wahusika na kupuuza vipengele vingine k.m fanani haya huipunja fasihi simulizi
d) Kuandika fasihi simulizi huifanya kukosa ile taathira asilia kwani kunaipokonya hadhira yake ile fursa ya kushirikiana ana kwa ana na fanani, mtu hawezi kuuliza jambo
e) Kuandika fasihi simulizi huidhibiti na kupunguza hadhira yake na kuathiri vibaya usambazaji wake fasihi inapoandikwa inawafikia wale tu wanajua kusoma
kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 12:57
-
Eleza matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi fasihi kisha utaje umihimu wake
(Solved)
Eleza matumizi ya kalamu na karatasi katika kuhifadhi fasihi kisha utaje umihimu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Mahojiano ninjia mojawapo ya kukusanya kazi ya fasihi.eleza maana yake huku ukitolea umihumu wake
(Solved)
Mahojiano ninjia mojawapo ya kukusanya kazi ya fasihi.eleza maana yake huku ukitolea umihumu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi
(Solved)
Umuhimu wa hojaji zinapotumiwa kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi
(Solved)
Matumizi ya hojaji yana umuhimu gani katika kukusanya fasihi
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa kutazama kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi
(Solved)
Eleza umuhimu wa kutazama kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza udhaifu wa kushiriki kama njia ya kukusanya fasihi
(Solved)
Eleza udhaifu wa kushiriki kama njia ya kukusanya fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya kushiriki kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi huku ukitoa umuhimu wake
(Solved)
Eleza maana ya kushiriki kama njia mojawapo ya kukusanya fasihi huku ukitoa umuhimu wake.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya misemo huku ukitolea mifano
(Solved)
Eleza maana ya misemo huku ukitolea mifano.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhima ya nahua katika fasihi
(Solved)
Eleza dhima ya nahua katika fasihi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya nahau
(Solved)
Eleza maana ya nahau.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza dhima ya mafumbo
(Solved)
Eleza dhima ya mafumbo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza uhusiano uliopo baina ya mafumbo na chemsha bongo
(Solved)
Eleza uhusiano uliopo baina ya mafumbo na chemsha bongo.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Vitanza ndimi huwa na dhima gani katika jamii
(Solved)
Vitanza ndimi huwa na dhima gani katika jamii.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya vitanza ndimi
(Solved)
Eleza maana ya vitanza ndimi.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Lakabu zina umuhimu gani katika jamii
(Solved)
Lakabu zina umuhimu gani katika jamii.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Taja sifa tano mahususi za lakabu
(Solved)
Taja sifa tano mahususi za lakabu.
Date posted:
August 5, 2018
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia nomino milikishi na nomino dhahania
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia nomino milikishi na nomino dhahania.
Date posted:
August 4, 2018
.
Answers (1)
-
Chagizo ni nini?
(Solved)
Chagizo ni nini?
Date posted:
August 4, 2018
.
Answers (1)
-
Shadda ni nini?
(Solved)
Shadda ni nini?
Date posted:
August 3, 2018
.
Answers (1)
-
Nini maana ya kijalizo katika sarufi ya Kiswahili?
(Solved)
Nini maana ya kijalizo katika sarufi ya Kiswahili?
Date posted:
August 3, 2018
.
Answers (1)