Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Eleza mahali ambapo kila irabu za kiswahili hutamkiwa na jinsi zinavyotamkwa

      

Eleza mahali ambapo kila irabu za kiswahili hutamkiwa na jinsi zinavyotamkwa.

  

Answers


KELVIN
a) a ni ya katikati na chini kinywani na midomo ikiwa imeviringa.
b) e ni ya mbele na kati kinywani na midomo ikiwa imetandazwa.
c) i ni ya mbele na juu kinywani na midomo ikiwa imetandazwa.
d) o ni ya nyuma na kati kinywani na midomo ikiwa imeviringa.
e) u ni ya nyuma na juu kinywani na midomo ikiwa imeviringa.

kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 13:10


Next: Taja aina tofauti za ala za sauti.
Previous: Eleza maana ya viyeyusho

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions