Trusted by millions of Kenyans
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza mahali ambapo kila irabu za kiswahili hutamkiwa na jinsi zinavyotamkwa

Eleza mahali ambapo kila irabu za kiswahili hutamkiwa na jinsi zinavyotamkwa.

Answers


KELVIN
a) a ni ya katikati na chini kinywani na midomo ikiwa imeviringa.
b) e ni ya mbele na kati kinywani na midomo ikiwa imetandazwa.
c) i ni ya mbele na juu kinywani na midomo ikiwa imetandazwa.
d) o ni ya nyuma na kati kinywani na midomo ikiwa imeviringa.
e) u ni ya nyuma na juu kinywani na midomo ikiwa imeviringa.

kalvinspartan answered the question on August 5, 2018 at 13:10

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions