Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Jadili maudhui ya elimu kama yanavyo dhihirika katika hadithi ya mke wangu

      

Jadili maudhui ya elimu kama yanavyo dhihirika katika hadithi ya mke wangu.

  

Answers


KELVIN
? Humkomboa mwanamke kutokana na udhalilishaji wa mwanamume kwa vile inamwongezea mwanamke hadhi na hata kufanya mwanamume amwogope.
? Huwafanya watu kuwa watumwa kama vile kuwafanya wadharau kazi za mikono au kujiajiri wenyewe na kutaka tu kuajiriwa ofisini-uboi wawe wakitumwa.
? Yaweza kupotosha watu na kuwasahaulisha mila na desturi zao.

kalvinspartan answered the question on August 15, 2018 at 12:15


Next: Jadili maudhui ya ndoa katika hadithi ya mke wangu
Previous: Toa mifano katika hadithi ya mke wangu kudhihirisha nafasi ya mwanamke katika jamii

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions